• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Walimu Wilayani Ngara Wakumbushwa kufanyakazi kwa Uadilifu

Wakati ilipowekwa: June 4th, 2018

Walimu wote katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wamekumbushwa kufanyakazi kwa bidii, weledi na uadilifu katika kutimiza jukumu la kuwafundisha na kuwalea watoto waliokabidhiwa.

Akisoma risala wakati wa siku ya kilele cha wiki ya Elimu Mei 30, 2018, kwa niaba ya Mkuu wa wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele, Afisa Tarafa wa Tarafa ya Kanazi Ndugu Yusuph Jawabu, amewapongeza walimu kwa kazi wanazofanya.

“Nawakumbusha wazazi pamoja na wadau wa Elimu, jukumu la kuwaelimumisha watoto wilayani kwetu, ni la kila mdau; hivyo kila mwananchi katika nafasi yake anawajibika.” Alisema Ndugu Jawabu.

Aidha, alionyesha kusikitishwa na baadhi ya wananchi, wanaoshindwa kuelewa utekelezaji wa waraka wa elimu msingi bila malipo, na kwamba waraka namba 6 wa mwaka 2015, unalenga kwamba kila mtoto wa kitanzania apata elimu bila vikwazo.

Katika kutekeleza azma hiyo, serikali inatuma ruzuku ya uendeshaji wa shule za sekondari na za msingi, na kwamba utekelzaji wa waraka huo si mgumu kwani kila mdau ana majukumu yake.

Katika hili mkuu huyo wa wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele, amewaagiza watendaji katika ngazi ya Halmashauri, shule, kata na vijiji waendelee kutafsiri waraka huo kwa wananchi, ili kila mdau aweze kujua majukumu yake na kuyatekeleza.

Akisoma risala kwa niaba ya Afisaelimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Gideon Mwesiga, Afisa Taaluma (W) Ndugu Oswald Rujuba, amesema kwamba idara ya elimu tangu Januari hadi Aprili 2018, imepokea zaidi ya shilingi milioni 981 kwa ajili ya kusimamia shughuli mbalimbali shuleni.

Amempongeza Mh. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu John Pombe Magufuli, kwa kuanzisha mpango wa Elimu Bila Malipo, kwani mafanikio yake yanaonekana na kuongeza kwamba mwaka 2018 ofisi yake imewasajili darasa la kwanza watoto wapatao 14,071.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa