• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wapeni Wanafunzi Mazoezi ya Kutosha: Kaimu Afisaelimu Ngara

Wakati ilipowekwa: May 29th, 2018

Walimu wa shule za sekondari katika Halamsahuri ya Wilaya ya Ngara kwa kupitia ofisi ya mkuu wa shule wametakiwa kutoa mazoezi ya kutosha kwa wanafunzi watakao fanya mitihani ya taifa mwaka huu, ili yawasaidie kujiandaa vyema kwa ajili ya mitihani ya kitaifa.

Kaimu Afisaelimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Marton James ameyasema hayo ofisini kwake Mei 28, 2018, wakati akifafanua ni kwa nini ofisi yake imeamua kuandaa mitihani ya Mock katika wilaya ya Ngara.

Ndugu James amesema wameamua kufanaya mitihani ya Mock kiwilaya kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha nne ili kuwaandaa wanafunzi hao kwa ajili kufanya mitihani ya Mock kimkoa itakayofanyika Julai mwaka huu.

“Mitihani ya mock kiwilaya inatusaidia kujua mapungufu ya wanafunzi na walimu wetu ili tuweze kuyafanyiakazi na kutoa maelekezo yatayosaidia shule zetu za sekondari kufanyavizuri zaidi kwenye mitihani yao ya kimkoa na ile ya kitaifa.” Alisema ndugu James.

Amesema wanataka kubadili matokeo ya kidato cha nne kuonoda kabisa daraja la IV na ziro katika shule zote za sekondari wilayani Ngara mwaka 2018 na wanafunzi wote wapate daraja la I, II na la III pekee.

Amesema katika matokeo ya Kidato cha sita 2012 matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: - wanafunzi wawili walipata daraja la kwanza, daraja la pili walikuwa wanafunzi 34, waliopata daraja la tatu walikuwa wanafunzi 95 na daraja la IV walikuwa wanafunzi 14.

Kaimu Afisaelimu amefafafnua kwamba katika matokeo ya kidato cha nne 2012,wanafunzi 2 walipata daraja la kwanza,wanafuzi 20 walipata daraja la pili,wanafunzi 94 walipata daraja la tatu, wanafunzi 792 walipata daraja la 4 na wanafunzi 1015 walipata ziro/sifuri.

Aidha, akasema kwamba idadi ya ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha pili 2012 uliongezeka hadi 57.2% toka 31.3%, mwaka 2011.

Hata hivyo, amesema kwamba upungufu wa walimu ni tatizo kwani baadhi ya walimu wanaopagiwa vijijini uripoti na kuondoka, kwa madai kwamba  mazingira magumu ya utendaji kazi kama vile; ukosefu wa nyumba za watumishi na huduma za kijamii (Maji, umeme hospitali na maduka).

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ina jumla ya shule 29, ambapo shule 23 zinamikiwa na serikali, shule 6 ni za binafsi. Kanisa Katoliki linamiliki shule 2, Kanisa la Anglikana linamiliki shule 01 na watu binafsi wanamiliki shule 03.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa