• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Watendaji Hakikini Vikundi vya Kupewa Mikopo na Kusajiliwa

Wakati ilipowekwa: November 22nd, 2018

Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, imewataka watendaji wa kata na wa vijiji wahakiki kwa umakini, kuwepo kwa vikundi vya kijamii, kiuchumi na sanaa vya akina mama, vijana na walemavu kabla ya kuwapitishia usajiri wao.

Kaimu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Bi. Josephine Lusatira, amesema hayo Novemba 21, 2018, ofisini kwake; kwa kudai kwamba uamuzi huo umekuja, ili wajiridhishe wakati wanafanya mchakato wa kusajiri na kuvikopesha wa vikundi hivyo.

“Tunawaomba WEO na VEO watusaidie kujua uhalisia wa kuwepo kwa vikundi hivyo, ili tuweze kuvipatia mikopo, kwani serikali inawasadia watu wanaofanya shughuli zao katika vikundi na siyo mtu mmoja mmoja.” Alisema Bi. Lusatira.

kutokana na sheria ya fedha namba 04 ya mwaka 2014, iliyoanza kutumika rasmi Julai 01, 2018, vikundi vyote vitakavyopewa mkopo, vitarejesha mkopo huo bila riba katika muda wa mwaka mmoja.

Amewataka wanavikundi hao kuwa makini, waamini na waadilifu, kwani fedha za mikopo si zawadi inabidi zirejeshwe, ili vikundi vingine viweze kupata mikopo kwa lengo la kuviinua kiuchumi.

“Fedha za mikopo zinatakiwa kuzunguka katika vikundi mbalimbali, alichokitaja kuwa ‘revolving Gunds’; hivyo, ukikopeshwa rejesha kwa muda, ili fedha hiyo ikopeshwe kwa wanavikundi wengine.” Alisema Bi. Lusatira.

Hata hivyo, amesema zoezi hili limeleta changamoto, ambazo baadhi yake amezitaja kuwa vikundi vinavyopitishwa kusajiliwa na kupewa mikopo havina sifa zinazostahili, ambazo amesema kuwa hawafanyikazi kama vikundi bali kila mmoja na shughuli yake.

Umri wa wa wanavikundi nao, ni changamoto, hasa vijana wenginwao wana umri zaidi ya miaka 35 ambapo umri unaotakiwa ni kuanzia miaka 15 – 35, kwani wenye umri zaidi ya huo wanakuwa katika kundi la wazee.

Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, inatarajia kutoa mikopo kwa vikundi vya akina mama, vijana na walemavu hivi karibuni mara taratibu za kutoa mikopo hiyo kwa vikundi hivyo zitakapokamilika.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa