• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wawekeeni Umeme Nyumba kwa Nyumba Asiachwe Mtu

Wakati ilipowekwa: June 11th, 2018

Meneja wa TANESCO wilayani Ngara na Mkadarasi wa Wakala wa Umeme nchini, anayesambaza umeme wa bei nafuu (REA) awamu ya tatu kwa wananchi wilayani humo, wameagizwa kuhakikisha kwamba kila mtu aliyelipia umeme anapewa huduma hiyo.

Waziri wa Nishati Mh. Dr. Medard Kalemani ametoa maagizo hayo June 09, 2018, katika kata ya Kasulo kijijini cha Kasharazi Kitongoji cha Gwingwe, alikokwenda kuzindua umeme wa bei nafuu kwa wananchi (REA).

“Hakuna atakayerukwa tunakwenda kijiji kwa kijiji kitongoji kwa kitongoji na nyumba kwa nyumba, kwa hiyo kufikia mwezi Juni mwaka 2019, vijiji vyote 36 wilayani Ngara vilivyopo chini ya wakala wa umeme nchini (REA) lazima viwe vimwekewa umeme.” Alisema Waziri Kalemani.

Dr. Kalemani amesema mardi wa REA awamu ya tatu utasambaza umeme katika vijiji 36, ambapo mwanzoni wilaya ya Ngara ilikuwa imetengewa vijij 21, na katika awamu hii vimeongezeka vijiji 15 zaidi.

Aidha, amsema kwamba serikali inawajibika kwa wananchi inapeleka umeme kwa kila kitongoji, lakini kazi hiyo haiwezi kukamilika kwa siku moja, niwaombe wakandarasi, pamoja na meneja TANESCO wasimamie hiyo kazi kwa nguvu.

Amesema kwamba nyumba nane zilizowashwa umeme siku hiyo, ni chache sana, kwani lengo la serikali ni kila kitongji wilayani Ngara kipate umeme na kwamba haijalishi ni nyumba ya aina gani bali kila atakayelipia umeme awekewe umeme huo.

“Tunataka kukuza uchumi wa taifa, na wa mwananchi mmoja mmoja, lakini hatuwezi kufanya hivyo kama wananchi hawana umeme, pia tunataka wananchi wauze unga badala ya mahindi. Alisema Waziri Kalemani

Ndugu Kalemani ameambatana na wataalamu wa shirika la umeme nchini (TANESCO), ambao ni Kaimu Mkurugenzi wa TANESCO makao makuu Dar-er-salaam, na meneja wa TANESCO Kanda ya ziwa.

Wengine ni Meneja wa TANESCO mkoa wa Geita, Meneja wa TANESCO mkoa wa Kagera, Meneja wa TANESCO wilaya ya Biharmulo na Meneja wa TANESCO wilaya ya Ngara pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa