• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wekezeni Katika Elimu Tunakoelekea Haikwepeki

Wakati ilipowekwa: November 6th, 2018

Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya Ngara, wametakiwa kuwekeza katika elimu, kwa madai kwamba wapende wasipende wakati ni ukuta elimu tunakoelekea haikwepeki.

Ujumbe huo umetolewa na Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Baragondoza, wakati akifafanua umuhimu wa Elimu ya Malezi (Day Care) kwa wazazi wa watoto, waliotimiza mwaka mmoja katika kituo cha J & J Patmos Center wilayani Ngara.

“Tunakokwenda ni kugumu sana kwa sababu vitu vingi viko kimtandao zaidi, kila unachokitaka lazima uingie kwenye mtandao, kwa hiyo tunataka hatutaki, tunapenda hatupendi; lazima tuwekeze kwenye elimu.” alisema Ndugu Baragondoza.

Amefafanua kwamba kuna tofauti kati ya Elimu ya Malezi na elimu ya awali yaani Chekechea, ambapo amesema watoto wa elimu ya malezi, wana umri wa kuanzia miaka mitatno kwenda chini, na wako chini ya usimamizi wa ofisi ya Ustawi wa jamii.

Watu wengi wamekuwa wakishindwa kutofautisha dhana hizi mbili hivyo, kuleta sintofahamu mablimbali, huku akisistiza kwamba kazi ya vituo hivi ni kuhakikisha watoto, wanaandaliwa kisaikolojia, kimakuzi, kimalezi na kihisia, ili wakue katika tabia nzuri.

Aidha, amesema vitu vinavyozingatiwa katika vituo hivyo vya elimu ya malezi; ni kuwalea watoto wakue kimichezo, na kufahamiana wao kwa wao, huku wakielekezwa katika mambo yatakayowasaidia kielimu pindi watakapoanza elimu yao ya msingi.

Wazazi wengi wamewekeza katika malenzi, ambayo yanaawanyima fursa watoto kukua kiakili, badala yake wanawakuza watoto wao kimwili; kwa maana ya kuwapatia chakula; lakini wanawanyima nafasi ya kutosha kuruhusu vipaji vyao kimakuzi.

“Vituo hivi serikali iliviruhusu, ili watoto wapate mahala pazuri pakupata mafunzo mazuri, kufahamiana na kukuza vipaji vyao; hilo ndilo lengo kubwa la kuanzisha Elimu ya Malezi hapa nchini.” Alisistiza Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya Ndugu Baragondoza.

Amewataka walezi waliopewa dhamana ya kuwalea watoto hao, kuwaangalia kwa makini, ili waweze kutambua vipaji vyao, na kuwaelekeza katika matamanio yao ya baadae, ili wawatengenezee njia njema kwa manufaa ya watoto hao na taifa kwa ujumla wake.

Naye Mgeni rasmi katika Hafla hiyo Ndugu Hissa Sama, amewaomba wazazi kutokuwa waonga kuwaandikisha wao katika shule hizi, bali wawapeleke katika vituo hivyo, ili waweze kupata mafunzo, ambayo ameyaita ni ya msingi katika makuzi yao.

“Msiogope kuwaandikisha watoto katika vituo vya elimu ya Malezi, kwa madai kwamba wataumia au watapata shida mbalimbali, shida hizo wanaweza kuzipata hata wakiwa nyumbani, watoto hao ni mali ya Mwenyezi Mungu na ndiye anayewalinda.” alisema Ndugu Sama.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa