• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

ZIARA YA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA KATIKA MPAKA WA RUSUMO, NGARA.

Wakati ilipowekwa: February 12th, 2020

Mnamo tarehe 12 Februari, Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ilipata ugeni kutoka Wizara ya Afya, maendeleo ya jamii,jinsia, Wazee na Watoto ambapo Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula aliongoza msafara huo.

Wakati wa ziara hiyo Dkt. Chaula alifanya ukaguzi wa mpaka wa Rusumo jengo la OSBP kuangalia namna Halmashauri ya Wilaya Ngara ilivyojiandaa kujikinga na kuzuia magonjwa ya mlipuko yasiingie nchini. Dkt Chaula alizihakiki hatua na vifaa vitumikavyo kumpima mtu aingiapo nchini ambapo alisisitiza Wataalam kuwa makini na kuzingatia mafunzo na maelekezo yaliyotolewa na Wizara juu ya upimaji ili kuimarisha ufuatiliaji wa wasafiri hasa waingiao nchini kupitia mpaka huo na mipaka mingine.

Pia, Dkt. Chaula aliupongeza uongozi wa Halmashauri na OSBP kwa hatua na juhudi wanazofanya katika kuhakikisha magonjwa hayo hatarishi ya Ebola na Corona hayaingii nchini. Dkt chaula alisema ”Juhudi zilizofanywa na serikali katika kupambana na magonjwa haya kuingia nchini ni kubwa mno,hivyo niwapongeze Halmashauri ya Wilaya ya Ngara kwa juhudi na utekelezaji mzuri mnaoufanya katika mipaka na wilaya nzima kwa ujumla”.

Aidha, Dkt Chaula aliomba Halmashauri kuboresha mazingira ya “Holding Center” kwa kuwa na choo maalum kwa washukiwa ,kutoa elimu ya unawaji mikono kabla ya kuingia chumba cha kupimia joto na pia kuangalia namna ya kupunguza uwezekano wa watu kugusana au kugusa vitu kwa pamoja.

Mwisho, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Ngara Ndugu Sangatati T. alimshukuru Katibu Mkuu kwa ujio wake katika Halmashauri ya Ngara na pia alimuahidi kuyafanyia kazi maboresho yaliyopendekezwa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya,maendeleo ya jamii,jinsia, Wazee na Watoto.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa