• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

ZOEZI KABAMBE LA USAFI LAFANYIKA WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: February 1st, 2024

NGARA LEO

Limefanyika zoezi kabambe la kufanya usafi wa mji likiongozwa na katibu wa CCM Wilaya Bi Anastazia A Amas, katibu wa wazaziWilaya Comred Abdalah kirobi katibu itikadi na uenezi Wilaya Comred Damian Godian, Mwakilishi wa Mbunge Jimbo la Ngara Ambaye ni katibu wa Mbunge Ndg Ernest B Joseph, Mkiti Halmashauri ya Wilaya Mhe Wilbard Bambara, wah Madiwani Ngara Mjini ,kabanga, Mkuu wa Kitengo Cha usafi na mazingira Ndg Yasin Mwinory, Afisa Tarafa Nyamiaga Ndg Jawadu Yusuph  Afisa utamaduni michezo wilaya, wananchi pamoja na viongozi wa chama na serikali.

Zoezi hilo la Usafi kabambe limefanyika kuelekea Kilele Cha maadhimisho ya miaka 47 ya kuzaliwa Kwa chama Cha Mapinduzi.

Maeneo Yaliyofanyika usafi na viongozi wa chama ,Serikali na Wananchi ni sokoni Ngara Mjini, Barabara Kuu  Ngara Mjini, ofisi za CCM Wilaya, Barabara ielekeayo Murgwanza, uwanja posta, ikiwa na kusafisha Mitaro ya Barabara,kufyeka Nyasi,kufagia na kuokota uchafi kama vile chupa, karatasi , vocha zilizotumika nk.

Katibu wa CCM Wilaya Bi Anastazia amewashukuru wote walioshiriki zoezi la Usafi kabambe wanaccm, Serikali na Wananchi Kwa kuungana pamoja kufanya usafi  ikiwa ni kuelekea Kilele Cha maadhimisho ya miaka 47 ya kuzaliwa Kwa CCM.

Aidha amewaambia zoezi la Usafi ni Endelevu  wilayani Ngara tuendelee kufanya usafi Kila siku ya alhamisi ikiwa ni kuunga mkono Jitihada za viongozi wa Wilaya Mkuu wa Wilaya ya Ngara Mhe Kanali Mathias J. Kahabi, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya  Ndg. Solomon O Kimilike walipozindua zoezi la Usafi kwa Wilaya nzima kata ya Rusumo Tarafa ya Nyamiaga wilayani Ngara.

Zoezi la ufanyaji usafi sokoni Ngara mjini.


Zoezi la Usafi kufagia Barabara akiwemo Mhe Diwani Ngara mjini.


Mkuu wa Kitengo Cha Afya usafi na mazingira Ndg Yasin Mwinory akiwa na Afisa utamaduni michezo pamoja na wafanya usafi  usafi baada ya kumaliza kufanya usafi.




Katibu wa CCM Wilaya Comred Anastazia A Amas Akiongoza zoezi la Usafi ofisi za CCM Wilaya baada ya kumaliza maeneo Mbalimbali ya Ngara mjini.


Katibu CC M Wilaya akiongoza zoezi la kufyeka Nyasi Ndefu eneo la ofisi za chama Cha Mapinduzi wilaya.


Mhe diwani Ngara Mjini akiwa kwenye zoezi la Usafi wa pamoja.


Zoezi la Usafi Comred Abdalah kirobi katibu wa Jumuiya ya wazazi Wilaya akiwa na Diwani Ngara mjini Mhe  Kennedy Festo wakisafisa Barabara ielekeayo ofisi za Mhe mkuu wa wilaya.


Afisa Tarafa Nyamiaga Ndg Jawadu Yusuph akiwa na katibu wa Jumuiya ya wazazi  na Wananchi kufanya usafi.


Zoezi la Usafi sokoni.


Mji ni msafi wa Ngara mjini.







ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa