• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Zoezi la Kutoa Vitambulisho vya Taifa Lianze Upya Wilayani Ngara; Mh. Lugola

Wakati ilipowekwa: January 8th, 2019

Ofisi ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, imeagizwa kuwatambua na kuwasajili upya wananchi wilayani humo, ili waweze kupata vitambulisho hivyo, kufuatia hofu kwamba wahamiaji haramu walijipenyeza katika zoezo hilo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Kangi Lugola ametoa agizo hilo Januari 06, 2019 baada ya kupata taarifa kwamba kuna uwezekano baadhi wahamiaji haramu kwa kusaidiawa, na wananchi wasiokuwa waadilifu walijipenyeza katika zoezi hilo, ili wapate vitambulisho hivyo.

“Zoezi la uandikishaji na utoaji vitambulisho vya taifa, litarudiwa ninazo taarifa kwamba baadhi ya wahamiaji haramu wamejpenyeza katika zoezi hilo; wengine kwa kutetewa na wenzetu wakapata vitambiulisho vya taifa.” Alisema Mh. Lugola.

Alitoa maelekezo vitambulisho vyote pamoja na taarifa zote za awali vitapitiwa upya, ili serikali ijiridhishe na kujua nani anastahili na nani hastahili kupata kitambulisho hicho; na kuwataka wale amabao hawakupata nafasi ya kujiandikisha kwa sababu mbalimbali wajiandikishe.

Wakati huo huo, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha wote watakaoshiki katika uchaguzi wa serikali za mitaa na baadae mwakani (2020) uchaguzi mkuu wawe ni raia wa Tanzania na si vinginevyo.

“Wahamiaji haramu hawaruhusiwi kujihusisha katika masuala ya kisiasa, lakini ninazo taarifa kwamba kuna baadhi yao mahali fulani ni viongozi na wananchi wanabaki kulalamikia uhalali wa uaraia wao; huku baadhi yao wanaanzisha vurugu hapa nchi.” Alisema Mh. Lugola.

Muhamiaji haramu kwa mujibu wa sheria za nchi haruhusiwi kumiliki hata sentimita moja ya ardhi ndani ya nchi hii; lakini kuna wahamiaji haramu wengi wanamiliki ardhi, zaidi sana wengine wananufaika na elimu bure iliyokusudiwa kwa watanzania.

“Nimewaelekeza Kamishena wa Uhamiaji ashirikiane na Kamati za ulinzi na usalama ndani ya wiki mbili tangu Januari 05, 2019; wahakikishe wahamiaji haramu wote wanaondoka.” Alisema Mh. Lugola.

Akielekeza, katika kufanikisha zoezi la kuwabaini wahamiaji haramu kuna changamoto zake; akagiza maofisa wote wa uhamiaji kuwa makini wakati wa zoezi hilo, wasimuonee na wala wasidhulumu haki ya mtu yeyote.

Aidha, amepiga marufuku idara ya uhamiaji, kumtambua muhamiaji haramu kwa kigezo cha pua yake, urefu wake, kwa kuimba wimbo wa taifa au mwili wake/umbo lake; kwa madai kwamba maofisa hao wamefundishwa vigezo vya kiuredi vya kubaini nani raia na nani si raia.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa