• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

ZOEZI LA UGAWAJI WA VITAMBULISHO 35,000 VYA NIDA - NGARA KAGERA

Wakati ilipowekwa: November 1st, 2023

Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe.Ndaisaba George Ruhoro amewataka Wananchi wote wenye namba za NIDA kuwa, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

 imekamilisha  na kufikisha Vitambulisho 35,000 vya Uraia kwa Wananchi wa Jimbo la Ngara ambao tayari wana namba za NIDA.

Vitambulisho vitapelekwa kwa Watendaji wa Kata na Vijiji ili iwe rahisi kwa Wananchi kuvipata vitambulisho hivyo. Aidha vitambulisho vitatakiwa kuchukuliwa na Wananchi ndani ya siku 14 tu na baada ya hapo vitambulisho vitarejeshwa makao Makuu ya NIDA Wilayani. 

Mhe Ndaisaba anawaomba Wananchi wenye namba za NIDA kufika kwenye Kata zao ili kuona kama na wao ni miongoni mwa waliopata Vitambulisho hivyo kwa awamu hii ili  kuchukua vitambulisho vyao.

Zoezi la ugawaji wa Vitambulisho vya Taifa kwa Wilaya ya Ngara linatarajiwa kuzinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Ngara Mhe.Kanali Mathias Kahabi, Mnamo 1/11/2023 kwenye eneo la Nazareth, Kata ya Ngara Mjini. 

Kufika kwa Vitambulisho hivyo ni utekelezaji wa ahadi ya Mhe. Ndaisaba George Ruhoro aliyoitoa nyakati tofauti tofauti Jimboni ambapo aliahidi kufuatilia na kuhakikisha angalau Serikali inatoa vitambulisho 45,000 kufika mwishoni mwa mwaka 2023. 

 Mhe Ndaisaba Ruhoro anawajulisha Wananchi wote kuwa ameendelea kuomba Fedha zitakazowezesha NIDA pamoja na UHAMIAJI kurudi kwenye kata, ili kuandikisha Wananchi wapya ambao walipitwa kwenye mazoezi yaliyopita ya uandikishaji ili kupata vitambulisho vya Taifa. Awamu nyingine ya kuandikisha Wananchi inatarajia kufanyika mapema 2024.

Mhe. Mbunge anawapongeza viongozi wote wa Serikali wakiwemo Madiwani, watendaji wa kata na vijiji kwa kazi nzuri wanayoifanya na kwa utayari wao wa kuhakikisha kila Mtanzania wa Ngara anapata kitambulisho cha Taifa.

ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa