• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Maendeleo ya Jamii

SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII.

Picha/Jina
CHEO
MAWASILIANO
Ndugu, Emmanuel Kulwa 

Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii (W)
+255 787 402 389
maendeleoyajamii@ngaradc.go.tz

Idara ya Maendeleo ya Jamii inafanya kazi zake kwa kuzingatia sera ya Maendeleo ya Jamii na pia miongozo mbali mbali inayotolewa na serikali. Katika kipindi cha Julai 2017 hadi Juni 2018 Idara ililenga kutekeleza mambo yafuatayo:-

  • Uhamasishaji jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli na masuala mbalimabli ya maendeleo ili kuiwezesha jamii kuinua hali zao za maisha na kujikwamua katika umasikini.
  • Kuratibu shughuli za mapambano dhidi ya ugonjwa wa UKIMWI na virusi vya UKIMWI
  • Kuratibu mifuko ya maendeleo ya vijana na wanawake.
  • Kuratibu shughuli za usajili wa vikundi vya kijamii na kiuchumi, na VICOBA.
  • Kuratibu dawati la uwezeshaji wananchi kiuchumi.
  • Kuratibu shughuli za TASAF katika vijiji 52 vyenye walengwa wa mpango wa kunusuru kaya masikini.

MAFANIKIO

Katika kipindi cha Julai 2017 – Julai 2018 Idara imefanikiwa kufanya mambo yafuatayo;

Kutoa mikopo kwa fefdha za mapato ya ndani jumla ya T.shs. 30,000,000/= kwa vikundi 18, kati ya hivyo vikundi 11 vya wanawake na vikundi 07 vya vijana.

Usajili wa vikundi vya kijamii, kiuchumi, na VICOBA 100.

Kufanya ufuatiliaji kwa vikundi vilivyopata mikopo ili kutoa elimu ya ujasiriamali na kutatua migogoro inayotokea ndani ya vikundi ili kuweza kuboresha shughuli za vikundi na marejesho ya fedha za mikopo kwa muda uliopangwa katika kata 20.

Kuwezesha walengwa wa mpango wa TASAF kupata malipo yao ili kuwawezesha watoto wao kwenda shule pia wale walio chini ya miaka mitano kupelekwa kliniki na kuwapatia walengwa wa mpango ajira za muda na kuongeza vipato vya kaya katika vijiji 52.

Kuhamasisha kaya za walengwa wa mpango wa TASAF kutumia ruzuku wanazopata kuanzisha miradi midogo midogo ya kiuchumi ikiwemo ufugaji kuku, mbuzi, bata, kilimo cha bustani nk.

Vikundi vya ujariamali vya wanawake vinajitahidi sana kurejesha fedha wanazokopeshwa kwa mapato ya ndani ya halmashauri ukilinganisha na vikundi vya vijana.

CHANGAMOTO

Katika utekelezaji wa shughuli za idara, changamoto mbali mbali zilijitokeza kama ifuatavyo:-

Upungufu wa fedha za bajeti iliyopangwa na idara. Idara ilitengewa fedha kidogo ambazo hazikutosheleza kufanya shughuli zilizokuwa zimepangwa kufanyika.

Ukosefu wa fedha kutoka kwa wafadhili hasa katika shughuli za kudhibiti UKIMWI, baada ya wafadhili kumaliza muda wao na kusababisha shughuli zilizopangwa kutotekelezwa.

Upungufu wa watumishi Idarani, hali inayosababisha Idara kuwa na mtumishi mmoja tu katika ngazi ya kata.

Vikundi vya vijana kutokuwa waaminifu na nidhamu ya fedha, baada ya kupewa mikopo hugawana fedha na kuhamia nje ya wilaya na kushindwa kurejesha fedha walizokopeshwa kwa muda uliopangwa.

MIKAKATI/ UTATUZI WA CHANGAMOTO

Halmashauri itenge fedha za kutosha kulingana na mahitaji ya Idara ili shughuli zote muhimu ziweze kufanyika.

Kuomba vibali vya ajira kwa watu wenye taaluma ya maendeleo ya jamii ili kukidhi mahitaji ya Idara.

Fedha 10% yaani 4% ya wanawake na 4% ya vijana na 2% ya walemavu kutokana na mapato ya Halmashauri iendelee kutengwa kila fedha inapopatikana.

Serikali itoe mwongozo mpya utaoiwezesha halmashauri kuvishtaki mahakamani vikundi vya wanawake, vijana na walemavu vitakavyoshindwa kurejesha fedha za mikopo kwa muda.

UTENDAJI KAZI TASAF JULAI 2017 - JUNI 2018.pdf

HALI HALISI YA MIKOPO YA 2016-2017 NA 2017-2018.pdf

HALI YA MIKOPO NA MAREJESHO MWAKA 2014-2015 HADI 2017-2018.pdf

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • WILAYA YA NGARA YANUNUA MAGARI KUTOKANA NA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI

    March 17, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU BAJETI YA HALMASHAURI 2023/2024 NGARA KAGERA

    March 07, 2023
  • KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) YAPITISHA RASIMU YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    February 22, 2023
  • MHE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT SAMIA SULUHU HASSAN ATOA PIKIPIKI KWA WATENDAJI WA KATA WILAYANI NGARA KAGERA.

    February 28, 2023
  • Tazama zote

Video

Moto Rusumo Agosti 2018
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa