• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Ukaguzi wa ndani

Hali ya halisi ya  idara

PICHA/JINA

CHEO

MAWASILIANO
Ndugu, Felician M. Kapama


Ukaguzi (W)

+255 0762 200 142/0784 300 267
ukaguzi@ngaradc.go.tz

Kitengo kinafanya kazi kwa mujibu wa sheria ya fedha ya serikali za mitaa N0 9 ya mwaka 1982 ambapo pamoja na mengineyo inahitaji vitabu vya hesabu za kila halmashauri za wilaya na mamlaka za miji kukaguliwa na mkaguzi wa ndani aliyeajiliwa na Serikali.

Miongozo mingine inayotumika ni;

  • Memorandam ya mamalaka ya fedha za serikali za mitaa 2010
  • Kitabu cha mwongozo wa uhasibu wa mamalaka za serikali za mitaa 2010
  • Kanuni 33 ya sheria ya fedha ya mwaka 2001
  • Sheria ya manunuzi N0 21 ya mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2007
  • Kitabu kidogo cha mwongozo wa ukaguzi wa ndani cha 2011
  • Kitabu kidogo cha msaada wa ukaguzi wa ndani 2011
  • Miongozo mbalimbali inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi

Kitengo ya ukaguzi inafanya kazi zake chini ya idara ya Utawala, na inafanya kazi katika mazingira ya kuridhisha kwa kuwa kuna vitendea kazi muhimu vinavyowawezesha maafisa wa kitengo kufanya kazi kikamilifu. Kitengo kina maafisa watatu(3) ambapo mmoja(1) ni mkuu wa kitengo na wawili(2) ni wasaidizi wake.

Hivyo miongozo, sheria na kanuni zilizobainishwa hapo juu zinaonesha au kubainisha kwamba uongozi inalojukumu la kuunda mifumo ya udhibiti wa ndani ili kuhakikisha shughuli au kazi zinafanyika kiufanisi na kwa mpangilio uliowekwa, hivyo mifumo ya udhibiti wa ndani uliundwa au kuanzishwa kwa dhumuni la;

Kuhakikisha ulinzi na usalama wa mali za taasisi

Kuweza kuhakikisha kumbukumbu za hesabu zinazotolewa kuaminika na kutegemewa.

Kuchochea utendaji wa kiufanisi.

Kusimamia utekelezaji wa sera na miongozo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2019 January 09, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2019 January 09, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya mitihani iliyofanyika 2017 January 30, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KUTEMBELEA UJENZI WA MADARASA KWA AJILI YA MAPOKEZI YA KIDATO CHA KWANZA 2021

    January 05, 2021
  • MKURUGENZI AWAAGIZA VIONGOZI WA KATA MPAKA VITONGOJI KUHIMIZA MATUMIZI BORA YA VYOO NA USAFI WA MAZINGIRA

    August 12, 2020
  • NGARA YAGEUKA KIVUTIO KWA WENGI MAONESHO YA NANENANE 2020

    August 08, 2020
  • MKUU WA WILAYA NGARA AWASIFU WAKULIMA WA NGARA

    August 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Moto Rusumo Agosti 2018
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa