• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

TEHAMA na Uhusiano

Eustach Ntayandi

CHEO

MAWASILIANO
                           


District Information, Communication and Technology Officer (DICTO)

+255 769 587 228

ictsupport@ngaradc.go.tz


Kitengo cha Technolojia ya habari na mawasiliano na uhusiano ni moja ya vitengo vipya vya Halmashauri ya wilaya ya Ngara vilivyoanzishwa mwaka 2011. Kitengo kinashughulikia mambo makuu yafuatayo:-

Eneo la TEHAMA

•    Kusimamia ufungaji na kujaribu vifaa vyote vya elektroniki vilivyoko halmashauri.

•    Kutumia na kuhifadhi programu za kompyuta, vifaa vya kompyuta na mitambo ya mifumo na mawasiliano;(kama simu, intanet, kanzidata na vitu vingine).

•    Kusimamia shughuli zote za matengenezo ya vifaa vya elekroniki pamoja na kompyuta.

•    Kuhakikisha mifumo ya TEHAMA iliyopo katika Halmashauri inafanya kazi kama inavyotakiwa;

•    Kutoa msaada wa kiufundi kwa watumishi wote wa Halmashauri katika eneo la TEHAMA;

•    Kutoa mafunzo kwa watumishi wa Halmashauri katika masuala ya TEHAMA zikiwemo programmu mbalimbali;

•    Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa mifumo, miundombinu na vifaa vya TEHAMA;

•    Kuibua mahitaji ya mifumo ili iweze kusanifiwa na kisha kutengenezwa na kutumika;

•    Kuchambua na kuainisha huduma zinazoweza kutolewa na mifumo ya kielekroniki katika Halmashauri;

•    Kuhakikisha miundombinu kiambo (Local Area Network) katika Halmashauri inafanya kazi na mtandao wa intaneti unapatikana;

•    Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kuteleza kazi za TEHAMA katika Halmashauri;

•    Kutengeneza utaratibu mzuri wa kutunza taarifa na data ili ziweze kutumika wakati wa majanga;

•    Kufanya na kusimamia matengenezo ya vifaa vyote vya TEHAMA;

•    Kutafiti na kuchambua matatizo ya vifaa vya TEHAMA na kutoa suluhisho;

•    Kushirikiana kwa karibu na wataalamu wa TEHAMA wa Mkoa na wa Wizara ili kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo;

•    Kutoa specification za vifaa kwa ajili ya manunuzi;

•    Kushiriki katika zabuni za vifaa vya TEHAMA na kuhakiki ubora wake kabla havijaanza kutimika; na

•    Kuhakikisha Halmashauri ina tovuti na inapatikana wakati wote.


Eneo la Uhusiano

•    Kusimamia sera, mikakati na miongozo inayotolewa na Serikali Kuu juu ya uendeshaji wa kazi za Uhusiano;

•    Kuandaa mpango, bajeti, mpango kazi, mpango mkakati wa kuteleza kazi za Uhusiano katika Halmashauri;

•    Kutangaza kazi na miradi inayofanyika katika Halmashauri;

•    Kutangaza maeneo ya uwekezaji ya Halmashauri katika tovuti, radio na majarida;

•    Kuhakikisha tovuti ya Halmashauri ina taarifa mpya kila wakati pamoja na District Profile;

•    Kuandaa na kutoa majarida kuhusu Halmashauri;

•    Kushiriki katika mijadala ya jamii kuhusu masuala ya Halmashauri;

•    Kutumia TEHAMA katika kutoa elimu kwa jamii;

•    Kusimamia press briefing za Halmashauri;

•    Kushauri Halmashauri juu ya uandaaji, uzalishaji na usambazaji wa nyaraka kwa wadau mbalimbali; na

•    Kushirikiana kwa karibu na afisa uhusiano wa Mkoa na wa Wizara ili kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo.

•    Kuratibu habari za Halmashauri na kuzitoa kwa wahusika kwa mujibu wa kanuni za kitengo cha habari.

•    Kuandaa, kuandika na kuhakiki machapisho, makala na miswada mbalimbali ya halmashauri, pamoja na kalenda.

•    Kuwa kiungo kati ya maeneo mengine ya kituo cha data, programu na mawasiliano ya kompyuta.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI AJIRA MPYA July 05, 2021
  • EMPLOYMENT OPPORTUNITIES AT NELSAP-CU October 08, 2021
  • Matokeo ya mitihani iliyofanyika 2017 January 30, 2018
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA - JKT June 04, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAPOKEA FEDHA ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYOENDELEA YA MPANGO WA MAENDELEO KWA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19

    November 17, 2021
  • UWEZESHAJI NGAZI YA TAIFA TASAF III AWAMU YA PILI KATIKA HALMASHAURI YA NGARA

    March 03, 2021
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KUTEMBELEA UJENZI WA MADARASA KWA AJILI YA MAPOKEZI YA KIDATO CHA KWANZA 2021

    January 05, 2021
  • MKURUGENZI AWAAGIZA VIONGOZI WA KATA MPAKA VITONGOJI KUHIMIZA MATUMIZI BORA YA VYOO NA USAFI WA MAZINGIRA

    August 12, 2020
  • Tazama zote

Video

Moto Rusumo Agosti 2018
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa