• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI NA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: July 9th, 2025

NGARA UPDATES

9/07/2025

Yamefanyika mafunzo elekezi kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari ambapo mafunzo hayo yametolewa na Tume ya utumishi wa walimu (TSC)

Mafunzo hayo yalifunguliwa na Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa walimu Mwl Niyongele Mzungu Gibson ambapo alisisitiza mambo yafuatayo 

1.Uadilifu kwa kuwa mfano wa kuigwa

2.kujituma na ubunifu aliwataka kutumia rasilimali (vitabu) kwa ubunifu mkubwa 

3.kujifunza muda wote kwani kuna mabadiliko mengi yanatokea  kielimu.usipokuwa tayari kujifunza kujifunza utabaki nyuma ( kupitwa na wakati)

4.ushirikiano wa walimu

5 Utunzaji wa Nyaraka

Katika mafunzo hayo mada  zilifundishwa ambazo ni 

1.Ajira kwa walimu

2.Nidhamu na maadili ya walimu

Aidha nasaha mbalimbali zimetolewa na  maafisa elimu msingi Mwl James Ling'hwa , afisa elimu watu wazima na kaimu Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ya wilaya.

Katibu ya tume ya utumishi wa walimu Bi Madina korongo  alizungumzia yafuatayo

1. Muundo wa Tume

2. Kazi za tume ya Utumishi

3. Dhana ya nidhamu

4. Mamlaka ya nidhamu

5. Aina za adhabu

6. Kanuni na sheria zinazotumika

7. Haki na wajibu  kwa walimu

Nae Afisa ajira Bw Erick kagya  amesisitiza mambo mbali  yanayohusu walimu

Walimu wa shule za  Msingi na Sekondari wakiwa kwenye mafunzo elekezi ukumbi wa Ngara sekondari


Maafisa wa tume ya utumishi wa walimu wakiwa na Afisa elimu Msingi Mwl James Ling'hwa kwenye mafunzo elekezi ya walimu wa Shule za Msingi na Sekondari


www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFUNGUA MAFUNZO YA MGAMBO KASHARAZI

    July 09, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI APOKEA UGENI WA CAG

    July 09, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI NA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) WILAYA YA NGARA

    July 09, 2025
  • KAIMU DED AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI AJIRA MPYA ZAIDI YA 230 WILAYA YA NGARA

    July 08, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa