• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO (FUM) YAENDELEA NA ZOEZI LA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

Wakati ilipowekwa: January 22nd, 2026

NGARA UPDATES

22/01/2025

Kamati ya fedha ,Utawala na Mipango leo imendelea na ziara  ya kutembelea miradi ya Maendeleo Wilaya ya Ngara, ambapo  kamati hiyo ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya  Mhe Theophilda William, kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri pia timu hiyo ikiwa na waheshimiwa Madiwani  pamoja na wataalam kutoka Halmashauri.

Miradi ya Maendeleo iliyotembelewa na kukaguliwa ni

1. Ujenzi wa  nyumba ya mwalmu shule ya msingi Gashaza kata ya Muganza gharama Tsh 51,000,000/= fedha toka (GPE LANES)

2. Umaliziaji wa ujenzi wa  zahanati ya  Nyabihanga kata ya Bukiriro  gharama ya Tsh Milion 95,000,000/= kupitia fedha ya fidia ya ardhi ya Vijiji toka  Tembo nickel,

3. Ukamilishaji wa zahanati ya Murulama kata ya Bukiriro gharama Tsh Milion 60,000,000/= fedha toka serikali kuu.

4. Ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 6 ya vyoo shule ya msingi Kabanga kata ya Kabanga gharama ya mradi ni Tshs. 88,600,000/= fedha kutoka BOOST.

5. Ujenzi wa Jengo la wagonjwa wa nje (OPD), kichomea taka, shimo la majivu, placenter pit na uzio wake pamoja na umaliziaji wa jengo la maabara Zahanati ya Kanazi kwa gharama ya Tshs.250,000,000/=fedha toka serikali kuu

6. Ujenzi wa Shule mpya ya mchepuo wa kiingereza Nakatuga Ngara mjini gharama ya Mradi tsh Milion 305,000,000/= fedha toka mapato ya ndani

7. Ukamilishaji wa chumba cha maabara Shule ya Sekondari Ngara fedha kutoka serikali kuu kiasi cha Tshs 30,000,000/=

8. Ujenzi wa  ukumbi wa  FATMA MWASSA Ngara mjini gaharama hadi sasa tsh 273,000,000/= fedha kutoka mapato ya ndani.

9. Kikundi cha  kabanga Matunda kilimo cha parachichi  waliopewa mkopo wa tsh 40,000,000/= fedha toka mapato ya Ndani.

Ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu Gashaza kata ya Muganza

Ujenzi wa Zahanati ya Nyabihanga kata ya Bukiriro

Ukamilishaji wa Zahanati ya  Murulama kata ya Bukiriro

Ujenzi wa Vyumba 3 vya Madarasa na Matundu 6 ya vyoo Shule ya Msingi Kabanga

Ujenzi wa kituo cha afya Kanazi

Uendelezaji wa ujenzi wa Maabara kituo cha afya kanazi

Ujenzi wa Shule Mpya ya Mchepuo wa Kiingereza Nakatunga Ngara Mjinj

Ukamilishaji wa Chumba cha Maabara Shule ya Sekondari Ngara

Ndani ya Chumba cha Maabara Ngara Sekondari

Ujenzi wa Ukumbi wa FATMA MWASSA wa kisasa wa Halmashauri fedha za mapato ya ndani.

Ukumbi wa FATMA MWASSA unaojengwa Ngara Mjini

Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO (FUM) YAENDELEA NA ZOEZI LA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    January 22, 2026
  • MKITI WA HALMASHAURI AIONGOZA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO ( FUM) KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

    January 21, 2026
  • KIKAO CHA KAMATI YA ELIMU NA AFYA ROBO YA PILI 2025/2025 CHAFANYIKA UKUMBI WA HALMASHAURI.

    January 19, 2026
  • BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI LAFANYIKA NGARA

    January 17, 2026
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa