• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

BAADA YA KUFIKA KURIPOTI OFISI YA DC KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAANZA KUSAIDIA WANANCHI WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: April 15th, 2025

NGARA UPDATES

15/04/2025

 Kampeni hiyo  iliyozinduliwa Mkoa wa kagera tarehe 14/04/2025 na Waziri wa sheria na Katiba Mhe Dr  Damas Ndumbaro Mjini Bukoba zoezi linalotekelezwa kwa wilaya zote  za Mkoa wa Kagera.

 Kampeni hii inatokana na Azma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani  Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuimarisha mfumo wa kutatua changamoto zunazowakabiri wananchi bila kusubiri kuwasilisha changamoto wakati wa ziara za viongozi wa kitaifa.

Ilielezwa Lengo la  kampeni  kulinda Kukuza  na kuimalisha upatikanaji wa  haki kwa watu wote kupitia huduma  ya msaada wa kisheria.

Aidha katika wilaya ya Ngara zoezi hili linaanza tarehe 15/04/2025  hadi 23/]4/2025. ambapo  Jumla ya kata 10  vijiji 30 watafikiwa.

Kata zitakazotembelewa ni  Bugarama, Rulenge, Muganza, Murusagamba, Nyakisasa, Rusumo,

Kasulo, Murukulazo, Kabanga na Ngara mjini.

Wataalam watakaohusika  katika utekelezaji wa kampeni ni  Mratibu kutoka wizara ya katiba na sheria, Afisa maendeleo ya Jamii, Mwanasheria wa Hamashauri, Afisa Ardhi, Mwanasheria kutoka chama cha Tanganyika , Afisa dawati Jinsia,Afisa ustawi wa Jamii,Wasaidizi wa kisheria, Maafisa toka dawati la msaada wa kisheria na Mwandishi wa Habari

Leo wamefika ofisi ya  Mhe Col Mthias J kahabi Dc  pia Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya kujitambulisha na kuanza kazi hiyo.

Aidha  Ndg Emmanuely kulwa mkuu  wa Idara ya  Maendeleo ya Jamii ambaye kaimu DED  anawaalika wananchi wenye changamoto wafike watasaidiwa.

Naye Mhe Col Mathias J kahabi  Dc Ametoa wito kwa wananchi kufika katika maeneo  hayo yatakayotembelewa na wataalam kupata elimu ya sheria  pamoja na  huduma ya Msaada wa kisheria kwenye maeneo yote ya migogoro ya ardhi .mirathi, ukatili  ndoa nk. wajitokeze kwa wingi  kupata huduma hii inayotolewa kwa wananchi bila gharama. Alimalizia kwa kumpongeza  Dkt Samia Suluhu Hassan  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanzisha utaratibu wa kuwasaidia wananchi.

Timu hiyo ilipofika pia  ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa