• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

COL KAHABI DC NGARA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA RWANDA UNAOTENGANISHWA NA MTO KAGERA

Wakati ilipowekwa: December 24th, 2025

Ngara - 24/12/2025, 

Mkuu wa wilaya Ngara Mhe Col Mathias Julius Kahabi akifuatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya walifanya ziara ya kukagua mpaka wa Tanzania na Rwanda ambao unatenganishwa na mto Kagera kama unavyooneka kwenye picha.

Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kuangalia usalama wa mpaka na kuongea na wananchi wanaoishi jirani na mpaka huku akiwasisitiza kulinda mpaka wetu na jirani zetu.

Aidha, alikagua vipenyo ambavyo sio rasmi na vinatumika na wananchi wa pande zote mbili kuingia na kutoka nchini bila kufuata taratibu na sheria za Nchi za Uhamiaji. 

Amewataka Wanajeshi wetu(JWTZ) walioko kwenye viteule kwa shughuli za ulinzi na usalama wa mpaka kushirikiana na Viongozi wa vijiji pamoja na wananchi wote walioko mpakani kudhibiti hali hiyo na kuhakikisha wanatoa taarifa kwa Mamlaka husika endapo kuna wahamiaji haramu wanaoingia nchini bila kufuata sheria za nchi.

Ziara ya Mhe DC Kahabi ni endelevu ambapo pia anafuatana na Meneja wa TARURA Wilaya na Watendaji wa ofisi yake kuona maeneo yenye changamoto katika barabara mhimu za Kiusalama kuelekea mpakani na akapongeza kazi nzuri inayofanywa na TARURA Wilaya japo bajeti ya matengenezo ya barabara hizo za Kiusalama ni ndogo ukilinganisha na mahitaji.

Ngara Kazi ya ulinzi na usalama inaendelea

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • SALAMU ZA MWAKA MPYA KUTOKA KWA DED NGARA

    January 01, 2026
  • SALAMU KUELEKEA MWAKA MPYA 2026

    January 01, 2026
  • COL KAHABI DC NGARA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA RWANDA UNAOTENGANISHWA NA MTO KAGERA

    December 24, 2025
  • COL. KAHABI DC NGARA AWATAKA WANANCHI KUSHEREHEKEA SIKUKUU ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA KWA AMANI NA UTULIVU

    December 23, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa