• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC NGARA COL.KAHABI AWAALIKA WANANCHI KUUPOKEA, KUUSHANGILIA NA KUKESHA NA MWENGE WA UHURU JUMAMOSI YA TAREHE 13 SEPTEMBA 2025 UWANJA WA MPIRA RULENGE - NGARA

Wakati ilipowekwa: September 10th, 2025

NGARA UPDATES

10/09/2025

Mkuu wa Wilaya ya Col. Mathias J Kahabi amewaita wananchi wote wa NGARA kujitokeza kwa Wingi katika Mapokezi ya Mwenge wa uhuru kwenye Miradi na  Mkesha Kabambe wa Mapokezi Uwanja wa Baramba- Lukole High School usiku wa kuamkia Sepitemba 13 na kuushangilia maeneo yote utakapopita kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali iliyopangwa.

Mwenge wa uhuru utapokelewa ukitokea Wilaya ya Karagwe ambapo utakimbizwa umbali wa kilometa 74  ukianza na Mradi wa Nishati safi eneo la mapokezi, Jiwe la Mradi wa maji kumuyange kata ya Nyamiaga , kuona kiwanja cha Michezo ngara mjini, jiwe la msingi  shule ya mchepuo wa Kiingereza Nakatunga ,Jiwe la msingi  kituo cha afya Kanazi ( jengo la OPD). Ujumbe wa mwenge kabanga stendi,kutembelea  Mradi wa uwekezaji Vijana Ibuga Kabanga na  Daraja la kumwendo , kata ya Mbuba

Mkesha utasindikizwa na Burudani kabambe  wakiwepo wasani  kutoka nje na Ndani.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA COL.KAHABI AWAALIKA WANANCHI KUUPOKEA, KUUSHANGILIA NA KUKESHA NA MWENGE WA UHURU JUMAMOSI YA TAREHE 13 SEPTEMBA 2025 UWANJA WA MPIRA RULENGE - NGARA

    September 10, 2025
  • MKUU WA WILAYA NGARA ANAWAKARIBISHA WANANCHI WOTE KWENYE MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU 13/09/2025 LUKOLE HIGH SCHOOL

    August 30, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI YA MWENGE WA UHURU MWAKA 2025 WAENDELEA WILAYANI NGARA.

    August 30, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI ASHIRIKI ZOEZI LA USAFI.

    August 28, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa