• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI ATEMBELEWA NA VIONGOZI TOKA MAKAO MAKUU YA JESHI.

Wakati ilipowekwa: July 23rd, 2025

Leo tarehe 23/7/2025, Mhe Col Mathias Julius Kahabi DC Ngara ametembelewa na Maafisa wakuu pamoja na Maafisa wadogo toka Makao Makuu ya Jeshi -  Dodoma na wengine toka Makao Makuu ya Jeshi la nchi kavu - Kibaha, Pwani.

Maafisa wakuu na Maafisa wadogo hao ni pamoja na Col HS Lyambilo, Col HM Komba, Col ES Massawe, Lt Col EE Mpindasigulu, Maj JJ Mvula, Capt RT Maunga, Capt LA Mwanfundile na mwenyeji wao Maj Raphael Paschal Mkuu wa Kiteule cha K9 - Ngara.

Leo la ziara ya Viongozi hao ni pamoja na kukagua hali Ulinzi na Usalama unaofanywa na Maafisa na askari walioko katika mpaka wetu na nchi jirani.

Aidha, wakuu hao wakitoa maelezo kwa Mhe Col Mathias Kahabi DC Ngara waeleza kuwa wanaridhishwa na hali ya utayari na utimamu wa Kijeshi uliopo kwa Makamanda na Wapiganaji toka viteule vya JWTZ walioko mpakani kwa jukumu mahsusi la ulinzi na Usalama wa mpaka wetu.

Wakuu hao kabla ya kuja Mkoa wa Kagera, Wilayani Ngara wametokea Mkoa wa Kigoma na baada ya Mkoa wa Kagera wataendelea na ziara yao kwenye Mikoa mingine.

Ngara kazi ya Ulinzi na Usalama inaendelea vema na mipaka yake na nchi jirani ni shwari.

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKAGUA UJENZI/UKARABATI WA NYUMBA RUSUMO.

    July 28, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA KIKAO KAZI NA RUSUMO OSBP

    July 28, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AWASHUKURU WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAOLISHIRIKI SHUGHULI ZA USAFI SIKU YA ALHAMIS TAREHE 24/O7/2025.

    July 24, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KABANGA OSBP.

    July 23, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa