• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Fedha za Mkopo si Zawadi Lazima Zirejeshwe; Mkurugenzi Mtendaji

Wakati ilipowekwa: July 5th, 2018

“Hizi fedha si zawadi bali ni mkopo, na kwasababu ni mkopo lazima zirejeshwe, ili tuweze kuvikopesha vikundi vingine vinavyohitaji kama nyinyi.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama.

Ndugu Bahama alisema hayo wakati akitoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya milioni 16, kwa vikundi 08 vya wakina mama na vijana kwenye ukumbi wa Halmashauri Julai 04, 2018; kwamba fedha waliyopkea inatakiwa izunguke kutoka kikundi kimoja kwenda kingine.

Amesema nidhamu ya fedha waliyoonyesha mwanzo hadi wakachaguliwa kati ya vikundi vingi katika Halmashauri ya Ngara, wanatakiwa kuionyesha katika fedha waliyopewa Julai 04, 2018.

Ameonya kwamba yeye ndiye msajili wa vikundi vya akina mama na vijana, ikiwa kikundi akitokuwa na nidhamu ya fedha atakifungia mara moja, kwani hatakubali fedha ya serikali ipotee wakati amepewa dhamana ya kuilinda fedha hiyo.

“Ninazo taarifa ambazo sijazithibitisha bado, kwamba tukiwapa fedha mnazingawana; yaani kila mmoja anapata fedha yake badala ya kutumia fedha hiyo kama kikundi, kama vikundi ni vya namna hii bora hiyo fedha tusiwape.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Bahama.

Serikali inasisitiza vikundi vilivyopewa mikopo kurejesha fedha hiyo, kwa wakati kwa sababu fedha iliyokopeshwa inaporejeshwa vinakopeshwa vikundi vinangine; na kwa mtindo huo tutawasaidia watu wengi kujikwamua kiuchumi, ambalo ndilo lengo la serikali.

Naye mmoja wa wanufaika wa mkopo huo Mdugu Imelda Bideberi, amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kuwaamini na kuona kazi wanazozifanya kuwa zinawapa ridhaa ya kupata mkopo, na kwamba watatumia mikopo hiyo kwa lengo lililokusudiwa.

Aidha, ameahidi kwamba watarejesha mikopo hiyo kwa wakati, ili iweze kuwanufaisha wengine wanaohitaji, ili kutimiza azima ya mikopo hiyo kwa vijana na akina mama.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa