• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

HATUA ZA USAJILI BASATA (AMIS) sanaa.go.tz

Wakati ilipowekwa: April 14th, 2025

Ili uweze kujisajili katika Mfumo wa Wadau wa Sanaa AMIS fuata Link sanaa.go.tz kisha unahitaji kuwa na namba ya NIDA, TIN Namba na Barua Pepe/Email; baada ya kujaza taarifa binafsi

Utatumiwa link kwenye barua pepe na kutengeneza nywila/password yenye mchanganyiko mfano Sanaa@2022 kisha utaingia kwa barua pepe na nywila uliyotengeneza.

Viambatisho vinavyohitajika katika usajili kwenye mfumo  

ENEO LA BURUDANI, SHEREHE/KUMBI (Bar, Lounge, Pub, Night Club, Maeneo ya wazi yaSherehe/Burudani nk)

1. Picha za eneo la burudani/sherehe/kumbi muonekano ndani na nje 

2. Kibali cha mara ya mwisho (PDF) kwa wanaohuisha vibali

3. Kwa wasajiliwa wapya - fomu ya ukaguzi

Wafanyabiashara ambao hawajasajili jina BRELA, Taasisi, Vyama, Mitandao ya Wasanii na Mashirikisho

  • - Ingia sehemu ya institution/taasisi 
  • - jaza taarifa 

 NB: Kwa Wafanyabiashara wa kazi za sanaa - ambatisha leseni ya mwisho ya biashara na uwasilishe ombi

Wasajiliwa waliobaki wataweka viambatisho;

1. Katiba (PDF)

2. Picha za viongozi (PDF)ziwe katika ukurasa mmoja na majina yao na vyeo chini ya picha 

3. Kibali cha mara ya mwisho (PDF) kwa wanaohuisha vibali 

Wafanyabiashara wa Kazi za Sanaa na Kampuni zenye usajili BRELA

1. Namba ya usajili wa Jina/Kampuni BRELA

  • - Ingia Sehemu ya Kampuni
  • - Omba taarifa kwa kuingiza namba za BRELA  
  • - Wasilisha ombi

2. Ingia sehemu leseni nyingine/other licence jaza taarifa husika na kuwasilisha 

Vikundi vya Sanaa

1. Katiba (PDF)iwe imesainiwa 

2. Picha za viongozi (PDF)

3. Kibali cha mara ya mwisho (PDF) kwa wanaohuisha vibali 

4. Orodha ya wanachama ina sehemu ya kujazwa kwenye mfumo

Msanii binafsi

1. Wasifu au CV (PDF)

Kwa kupata ufafanuzi zaidi Tafadhali wasiliana kwa namba hizi za BASATA

  • 0740030559 
  • 0740030595 
  • 0696466827

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa