• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Jengeni Miundombinu Wanafunzi 256 Waweze Kuendelea na Masomo; Mwesiga

Wakati ilipowekwa: December 22nd, 2018

Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kujikusanya kujenga miundombinu shuleni, ili watoto 256 ambao hawajapata nafasi waweze kuendelea na masomo yao.

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Gideon Samsoni Mwesiga, amesema hayo ofisini kwake Disemba 21, 2018, kwamba wanafunzi waliofanya vizuri lazima wote waendelee na masomo.

“Watoto waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na masomo ya sekondari Januari 2019 ni 4,203 sawa na asilimia 94.24%, ambapo kati yao wavulana na 2,008 na wasichana ni 1,196; kati yao wanafunzi 256 hawajapata nafasi.” Alisema Ndugu Mwesinga.

Watahiniwa waliofanya mtihani walikuwa 5,066 sawa na 99.5%, kati yao wavulana 2,270 na wasichana 2,696; huku watahiniwa ambao hawakufanya mtihani ni 27 sawa na 0.5%; wavulana 19 na wasichana 08.

Kaimu Mkurugenzi huyo amesema kwamba watahiniwa wavulana waliofaulu ni 2,098, sawa na 88.67%, ambapo wasichana waliofaulu ni 2,362 sawa na 87.51%; huku wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule za bweni kawaida, ufundi na ufaulu mzuri ni 18; wavulana 12 na wasichana 06.

Watahiniwa waliochaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza kutwa Januari 2019 ni 4,186 sawa na 94.24%, ambapo wavulana ni 1,996 na wasichana 2,190; huku akisema kwamba mwaka 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, ilikuwa na watahiniwa 5,095 waliosajiliwa kufanya mtihani wakumaliza elimu ya msingi.

Aidha, amesema mwaka 2017 waliofaulu ni wanafunzi 3026 sawa na 80%, ambapo kati yao wavulana walikuwa 1,838 na wasichana 1,980; cha kufurahisha wanafunzi wote walichaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2018 katika chaguo la kwanza.

Ameishauri serikali wakati Halmashauri inaweka miundombinu inayotakiwa kuwastahilisha wanafunzi, ambao hawajapata nafasi kujiunga na kidato cha kwanza mwakani, serikali ifanya taratibu za kupata walimu, kulingana na idadi ya wanafunzi.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa