• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KAIMU DED AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI AJIRA MPYA ZAIDI YA 230 WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: July 8th, 2025

NGARA UPDATES

 8/07/2025

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Bi Jenifer J. Mapembe ambaye ni Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu alifungua mafunzo elekezi kwa watumishi  ajira mpya 2024/2025 katika ukumbi wa St. Francis Ngara Mjini.

 Kaimu huyo Bi Jenifer amemshukuru  Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano  kwa wilaya kuletewa watumishi  kwa idara Mbalimbali zaidi ya 230 kwa mwaka 2024/2025.

 Aidha Bi Jenifer alieleza kuwa  Mafunzo hayo ni takwa la kisheria ambayo yamebainishwa kwenye kanuni za kudumu za utumishi wa umma za mwaka 2009 kifungu G.1(8).Alifafanua kwamba Watumishi hao watapata Nasaha toka kwa viongozi wa Serikali Kuu ambao ni Katibu Tawala wilaya, kamanda wa TAKUKURU , Afisa Uhamiaji na Usalama wa Taifa pia Serikali za Mitaa ( wakuu wa Idara)

Bi Jenifer alisema mada mbalimbali zitafundishwa na wakufunzi mahili toka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo aliendelea kwa kutaja mada zitakazo fundishwa ambazo ni

1.Mfumo wa Serikali za Mitaa.

2.Sheria zinazosimamia utumishi wa UMMA ,HAKI NA WAJIBU KWA MTUMISHI.

3.Maadili ya Mtumishi wa UMMA

4.Taratibu za kiofisi ,usimamizi wa kumbukumbu na Mawasiliano katika utumishi wa UMMA,

5.Usimamizi wa utendaji  katika utumishi wa UMMA (PEPMIS)

6.Huduma kwa Mteja

7.Masuala Mtambuka ( uongozi na utawala bora ,mapambano dhidi ya Rushwa, mazingira , UKIMWI mahala pa kazi na masuala ya kijinsia)

Baada ya maelezo hayo Bi Jenifer aliwataka washiriki wote kuwa wasikivu na kuhakikisha wanazingatia yote yatakayofundishwa kisha  alifungua rasmi Mafunzo hayo.

Kaimu Ded Bi Jenifer Mapembe akifungua mafunzo elekezi kwa watumishi ajira Mpya 2024/2025

Watumishi Ajira Mpya wakiwa kwenye mafunzo Elekezi katika ukumbi wa St francis Ngara Mjini

Katibu Tawala Wilaya Bi Hatujuani A. Lukali akitoa Nasaha kwa watumishi waajiriwa wapya 2024/2025

Mkufunzi toka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo akifundisha watumishi wa ajira mpya katka ukumbi wa St francis Ngara Mjini.

Mwl Mkude akiongea na watumishi ajira mpya katika ukumbi wa st francis Ngara Mjini

Kamanda wa Takukuru wilaya Ndg Ally Mikidadi  akitoa mafunzo  dhidi ya Rushwa

Afisa elimu Msingi Mwl James Ling'hwa akitoa Nasaha

Kaimu Ded Bi Jenifer Mapembe akiongea na wanamafunzo  kulia ni katibu Tawala wilaya Bi Hatujuani A Lukali na kushoto ni Ndg Bahati Marco Afisa Utumishi

Mganga Mkuu Wilaya Dr Deogratias Mlandali akitoa Nasaha

Wawezeshaji toka chuo cha serikali za mitaa Hombolo

Mwezeshaji mafunzo ndg Kweyamba Maxmilian kutoka chuo cha Hombolo akiwa na Dr David S Mapunda

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFUNGUA MAFUNZO YA MGAMBO KASHARAZI

    July 09, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI APOKEA UGENI WA CAG

    July 09, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI WAPATIWA MAFUNZO ELEKEZI NA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU (TSC) WILAYA YA NGARA

    July 09, 2025
  • KAIMU DED AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI AJIRA MPYA ZAIDI YA 230 WILAYA YA NGARA

    July 08, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa