• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

M/ KITI WA CCM WILAYA COMRED VITARIS NDAILAGIJE AONGOZA KAMATI YA SIASA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO AKIFUATANA NA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA -NGARA

Wakati ilipowekwa: May 14th, 2025

NGARA UPDATES

14/05/2025

Comred Vitaris Ndairagije Mkiti wa CCM Wilaya ameongoza kamati ya Siasa wilaya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo  wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera . Ambapo ameambata na Katibu wa CCM Wilaya  Bi Mariam , Mhe Col. Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya , Ndugu Constantine Msemwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashaurj ya wilaya, Meneja wa RUWASA, Meneja TARURA  na Wataalam Wa Halmashauri.

Miradi walioyotembelea  na kukagua ni

  1. Ujenzi wa Kiwango cha Changarawe , uzio , Ngazi ulalo( Ramps) na mfumo wa Maji  kituo cha Afya Rusumo utakaogharimu Tshs Milion 851,525,987.40
  2. Ujenzi wa Soko la Kimkakati  kahaza kata ya Rusumo ambao hadi kukamilika Tsh Bilion 2,517,833,024/=
  3. Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari Amali  -kasharazi  kata ya Rusumo   itakayogharimu Tsh Bilion 1,600,000,000/=
  4. Mradi wa Maji kumuyange kata ya Nyamiaga wenye gharama ya Tshs Milion 389,926,486.50/=
  5. Ujenzi wa Jengo la Utawala Makao Makuu Halmashauri ya wilaya Tshs Bilion 3,599,127,670.69  na uzio  utagharimu Tsh Milion 504,187,452.92 na Samani Tshs 419,717,777.65 
  6. Ujenzi wa ukumbi wa kisasa na Fremu za maduka  Ngara Garden utakaogharimu Tsh Milion 600,000,000/=
  7. Ujenzi wa Shule mpya ya Mchepuo wa kiingereza  Nakatunga Ngara Mjini utakaogharimu Tshs Milion 530,000,000/=
  8. Ujenzi Wa Barabara ya lami Magereza -Mukididili - kabalenzi itakayo gharimu Tsh Milion 316,710,000/=

Aidha Mhe  Comred Vitaris Ndailagije Mkiti wa CCM Wilaya amemshukuru na  kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha nyingi katika miradi ya sekta Mbalimbali wilaya ya Ngara.

Ziara  ya kamati ya siasa Wilaya ya kutembelea na kukagua miradi ya Maendeleo itaendelea kwa tarafa za kanazi , Rulenge na Mursagamba.

Kamati ya Siasa Wilaya wakisikuliza taarifa ya ujenzi wa Barabara ya kiwango cha lami Magereza - Mukididil - kabalenzi


Comred Vitaris Ndairagije akiwa na Mhe Col Mathias J kahabi ,Mhe Wilbard Bambara  Mkiti wa Halmashauri na katibu wa CCM Bi Mariam wakiwa Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya lami



Kamati ya Siasa wakiwa  eneo shule ya mchepuo wa kiingereza ilipojengwa Nakatunga Ngara mjimi




Kamati ya siasa ikiongozwa na Comred Vitaris Ndailagije wakiwa  kwenye  mradi wa ujenzi wa ukumbi wa kisasa na frem za maduka Ngara mjini



Comred Vitaris Ndairagije Mkiti wa Ccm Wilaya akiongoza kamati ya siasa kukagua Ujenzi wa Jengo la  Makao Makuu  Halmashauri ya wilaya akiwa na Col Mathias J kahabi Dc na Ndg Constantine Msemwa mkuu wa Idara ya Mipango na uratibu ambaye  ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wilaya



Viongozi wakiwa  kwenye mradi wa maji kumuyange kata ya Nyamiaga


Col Mathias J kahabi  Dc akiwa na Ndg Constantine Msemwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya wakiwa kwenye mradi wa maji kumuyange.



Kamati ya siasa wakisikiliza taarifa ya ujenzi wa shule ya Sekondari Amali iliyojengwa kasharazi kata ya Rusumo kabla ya kutembelea na kukagua




Kamati ya siasa wilaya wakiwa katika shule ya sekondari  Amali


www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • M/KITI WA CCM WILAYA COMRED VITALIS NDAILAGIJE AENDELEA NA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO AKIIONGOZA KAMATI YA SIASA WILAYA

    May 15, 2025
  • M/ KITI WA CCM WILAYA COMRED VITARIS NDAILAGIJE AONGOZA KAMATI YA SIASA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO AKIFUATANA NA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA -NGARA

    May 14, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa