• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Madiwani Wahamasisheni Wananchi Washiriki Kujenga Vituo vya Afya: Dr. Mbata

Wakati ilipowekwa: July 10th, 2018

Waheshimiwa madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuwahamasisha wananchi, ili waweze kushiki kikamilifu katika kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya wilayani humo.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kagera Dr. Marco Mbata, ameyasema hayo Julai 10, 2018, wakati alipopewa nafasi ya kuongea na wajumbe wa Bodi ya Afya ya Wilaya ya Ngara, kwamba madiwani wanawajibika kuwahamasisha wananchi, washiriki katika miradi hiyo.

 “Nadhani waheshimiwa madiwani mko hapa naomba muwahamasishe wananchi; serikali kuleta fedha si kwamba fedha hiyo peke yake inatosha; kwa sababu hata serikali ikitoa zaidi ya milioni 700 kwa mradi mmoja tu badi fedha hiyo haitoshi.” Alisema Dr. Mbata.

Amewataka wajumbe wajitahidi kusimamia shughuli za maendeleo ya Halmashauri; kwa maana ya huduma za jamii; na hasa usimamizi wa ujenzi wa vituo vya afya vinavyofadhiliwa na serikali ya Muungano wa Tanzania.

Amewataka wajumbe kusimamia fedha iliyotolewa na Mh. Rais Joseph Pombe Magufuli kujenga vituo vya afya, ili thamani ya fedha hiyo iweze kuonekana wazi wazi, na kuonya kwamba fedha hiyo hata mtu akiidokoa bado itaonekana tu.

Kwa hiyo amemtaka Mwenyekiti wa Bodi ya Afya na wajumbe wake kuwa msitari wa mbele kuhakikisha kuwa hakuna ubadhirifu unaojitokeza badala yake, wawe wazi katika kila hatua wanayofikia, huku wakitunza nyaraka zote muhimu.  

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Afya ya Wilaya ya Ngara Dr. Abrahamu Katesigile amemhakikishia Mganga Mkuu huyo wa mkoa Dr. Mbata, kwamba Bodi itajitahidi kuyatekeleza hayo; huku akiwataka wajumbe wa Bodi kuwa kitu kimoja hadi miradi ya Afya ya Murusagamba na Mabawe ikamilike.

Amemshukuru Mganga Mkuu huyo kwa ushauri na mawazo aliyowapa, kwani yanalenga kufanikisha lengo la Mh. Rais Pombe Magufuli la kufungua vituo vyote kwa siku moja; huku akidai kwamba bodi yake italisimamia hilo.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ngara Dr. Revocatus Ndyekobora, aliwaambia wajumbe wa bodi kwamba miradi ya ujenzi katika vituo vya afya vya Mabawe na Murusagamba, inaendelea vizuri kwani mafundi wanatandaza nyaya za umeme na mabomba ya maji.

Kikao cha siku moja cha Bodi ya Afya ya Wilaya ya Ngara kimefanyika Julai 10, 2018, katika ukumbi wa Idara ya Kilimo, na kuwajumuisha wajumbe wa Bodi hiyo pamoja na Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Marco Mbata.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa