• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAFUNGULIWA WILAYANI NGARA.

Wakati ilipowekwa: August 4th, 2025

NGARA UPDATES

04/08/2025

Mafunzo hayo yamefunguliwa na Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ngara Ndg. Constantine F. Msemwa ambapo mafunzo  yatafanyika kwa siku 3 kuanzia tarehe 04/08-6/08/2025. Aidha Mafunzo hayo yamehudhuliwa na Ndg Laban Leonard  Idefonce kutoka Tume huru ya  Taifa ya uchaguzi , Wasimamizi Wasaidizi Jimbo Ndg Telesphod  Ngerangera, Josephati Sangatati , Josephina J. Lusatira ,Afisa Uchaguzi Jimbo Bi Sakina Chamiti, Afisa ugavi  na Manunuzi Ndg Jacob Sona  , Maafisa TEHAMA  Ndg.  Emmanuely Ntamalengero  na Ndg Shabani kimokole.

Mafunzo hayo yameshirikisha ARO Kata Wawili  kila kata  Jumla Wakiwa 44 kwa kata 22.

Mgeni Rasmi ambaye alikuwa Msimamizi wa uchaguzi Jimbo Ndg Constantine Msemwa Ambapo alisisizita yafuatayo:

1.kusoma kwa  umakini katiba ,Sheria ,kanuni,Miongozo  na Maelekezo  mbalimbali  yaliyotolewa  na yatakayotolewa na  Tume  na kuuliza  ili  kupata  kufafanuliwa kwa mada zitakazofundishwa.

2.Vishirikishwe  vyama vyote vya  Siasa  vyenye usajili  kamili  katika hatua zote  kwa  kuzingatia matakwa  ya katiba ,sheria ,kanuni  na maelekezo  mbalimbali ya Tume.

3,Amewataka wajitahidi na wajiepushe  kuwa vyanzo vya Malalamiko  kutoka kwa vyama  vya Siasa  na  wadau  wa uchaguzi .amesisitiza kuzingatia ipasavyo katiba,Sheria ,kanuni , miongozo na maelekezo  mbalimbali  yaliyotolewa na yatakayotolewa na Tume.

4.Wawashirikishe  wadau wa uchaguzi  hususani  katika maeneo   ambayo  kwa mujibu wa katiba ,kanuni, sheria ,Miongozo  na  Maelekezo ya Tume.

5 Utambuzi wa vituo  vya kupigia kura  mapema  ili kubaini Mahitaji maalum  ya  vituo  husika  na kuhakikisha  kunanakuwa  na mpangilio mzuri ambao utahusu uchaguzi kwa amani na utulivu.

6.kupokea vifaa  vya uchaguzi  kutoka Tume  na kuhakiki  na  kuhakikisha vinasambazwa  kwa vituo  vyote  na kila  Mkuu wa kituo  anapata  vifaa vyote  vya uchaguzi vinavyohitajika Mapema.

7.Wakati wa kuapisha Mawakala watoe taarifa mapema  kwa vyama vya  siasa  kwa mujibu  wa sheria ,kanuni  na maelekezo ya Tume.

8, kuhakikisha siku ya uchaguzi  wanaweka utaratibu  utakaowezesha kila  kituo cha kupigia kura  kufunguliwa saa  1,00 kamili asbh   na

9.kufanya Mawasiliano  na Msimamizi  wa uchaguzi  au Afisa  Uchaguzi  pale ambapo ushauri  utahitajika kuhusiana na  masuala ya Uchaguzi 

Baada ya kusisitiza hayo alifungua rasmi Mafunzo.

Mada zilizofundishwa ni

1.Majukumu ya Watendaji na Mambo  Muhimu  ya kuzingatia ambapo mada hii  iliwasilishwa na Bi Sakina Chamiti Afisa uchaguzi Jimbo

2.Uteuzi wa Wagombea  mada iliowasiliswa  na Ndg Telesphord Ngerangera Msimamizi msaidizi wa uchaguzi Jimbo.

3.Maadili  na  kampeni  za Uchaguzi  iliwasilishwa na  Ndg Josephat Sangatati Msimamizi wa msaidizi wa uchaguzi Jimbo.

4.Wajibu na Majukumu  ya Watendaji  wa  vituo  na  Utambulisho  wa  Mawakala  wa vyama vya Siasa  ambapo mada hii iliwasilishwa na Bi Josephine J. Lusatira Msimamizi Msaidizi uchaguzi Jimbo.

Mafuzo yaliahirishwa  na Mkiti wa mafunzo  mpaka siku ya pili Tarehe 05/08/2025.

 " Kura yako ,Haki yako , jitokeze kupiga kura"

Mhe Terrysophia Tesha   Hakimu  Mkazi  Mfawidhi  Mahakama ya Wilaya  Ngara akiwaapisha Wasimamizi Wasaidizi Ngazi ya kata  Jimbo la Ngara


Ndg Telesphord Ngerangera akiwezesha mada ya uteuzi wa wagombea

Washiriki wa Mafunzo wasimamizi wasaidizi Ngazi ya kata jimbo la Ngara Wakiapa

Ndg Laban L. Edefonce kutoka Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi akiongea na wanamafunzo katika ukumbi wa Community Centre Ngara Mjini

Mgeni  Rasmi Ndg  Constantine Msemwa  Msimamizi Wa uchaguzi Jimbo la Ngara katika picha ya pamoja Baada ya Ufunguzi.

Bi Sakina Chamiti Afisa Uchaguzi Jimbo la Ngara   akiwezesha mada ya kwanza ambayo ni majukumu ya watendaji na mambo muhimu ya kuzingatia

Washiriki wa mafunzo wakisikiliza Mada iliyokuwa ikiwasilishwa na Ndg Josephat Sangatati

Ndg Josephat Sangatati Akiwezesha  mada ya Maadali na kampeni za Uchaguzi

Bi  Josephat  Lusatira  akiwezesha mada ya Wajibu na Majukumu ya Watendaji  wa vituo  na utambulisho  wa mawakala wa vyama vya siasa

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • RC -KAGERA MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFUNGUA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE KIMKOA

    August 05, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAENDELEA KUFANYIKA WILAYA YA NGARA

    August 05, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAFUNGULIWA WILAYANI NGARA.

    August 04, 2025
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA NDG. SOLOMON O. KIMILIKE AFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI MAKAO MAKUU

    August 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa