• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA NDG. SOLOMON O. KIMILIKE AFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI MAKAO MAKUU

Wakati ilipowekwa: August 1st, 2025

NGARA UPDATES

01/08/2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndg. Solomon O. Kimilike amefanya kikao kazi na Watumishi  waliopo Makao Makuu ya Halmashauri. Akifungua kikao kazi hicho alisisitiza  watumishi kuwa na mahusiano mazuri kazini, upendo, ushirikiano na kufuata Sheria, Kanuni na taratibu.

Katika kikao hicho Mada mbalimbali ziliwasilishwa kama ifuatavyo:-

1) Taarifa ya Utekelezaji wa Idara ya Utawala na usimamizi wa Rasilimali watu iliyowasilishwa na Mkuu wa wa Idara hiyo Bi. Jenifer Mapembe.

2) Elimu kuhusu Kanuni za Maadili ya utendaji kazi katika Utumishi wa umma za mwaka 2023 ilitolewa ambapo mada hiyo iliwasilishwa na Mkuu wa Idara ya utawala na usimamizi wa Rasilimali watu Bi Jenifer Mapembe.

3) Elimu na Ufafanuzi kuhusu Muundo wa Mamlaka za Serikali za Serikali za Mitaa (Organization structure) ıilitolewa.

4) Umuhimu wa mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa Majukumu ya kila siku katika utumishi wa Umma ambapo mada hiyo iliwasilishwa na afisa TEHAMA Ndg Shaban kimokole.

5) Matumizi ya mfumo wa Employee self Services( ESS) katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku ya utumishi ambayo iliwasislishwa na Ndg Boniface Mwakikuti na Bi Jasmine. kutoka Ofisi ya Mipango.

6) Masuala mbalimbali ya kiutumishi ambayo ni Mawasiliano, kuwahi kazini, kukaa sehemu ya kazi, utoro wa rejareja, Rushwa mahala pa kazi, utunzaji wa SIRI na utaratibu wa Ruhusa na likizo.

7) Mada kuhusu changamoto za Afya ya akili kwa watumishi iliwasilishwa na Afisa ustawi wa Jamii Ndg. Balongondoza.

8) Elimu kuhusu Bima ya Afya pamoja mfumo wa Bima ya Afya wa NHIF Self Service ilitolewa na Mtaalamu kutoka Ofisi ya Bima ya Afya Bukoba.

9) Baada ya mada hizo yalifanyika majadiliano mbalimbali  ambapo hoja zilizoibuka zilitolewa majibu na Ufafanuzi na pia maoni na mapendekezo mbalimbali yalitolewa.

Mwisho Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Ndg Solomon Kimilike aliahirisha kikao kazi hicho cha watumishi wa Makao makuu  ya Halmashauri kwa kusisitiza yafuatayo:-

i) Utendaji kazi wa Halmashauri ufanyike kwa kuzingatia Mkataba wa huduma kwa Mteja.

ii) Utunzanji wa Siri za Serikali ni jambo la Msingi na lizingatiwe.

iii) Watumishi wakae ofisini wafanye kazi na waache Majungu.

iv) Haki itolewe bila upendelea kwa watumishi wote.

vi) OC za Idara zitumike vizuri ikiwemo kulipa stahiki mbalimbali za watumishi.

viii) Watumishi wafike kazini kwa wakati na kuwe na Movement Register ya watumishi wanaotoka nje ya Ofisi wakati wa kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wilaya Ndg Solomon Kimilike alipokuwa akifungua kikao kazi cha watumishi kushoto ni Mkuu wa idara ya Utawala na rasilimali watu Bi Jenifer Mapembe

Bi Jenifer Mapembe Mkuu wa Idara ya Utawala na usimamizi wa Rasilimali wayu alipokuwa akiwasilisha mada tatu katika kikao kazi.

Watumishi wa Makao makuu wakiwa kwenye kikao kazi

Watumishi wakiwa kwenye kikao kazi  cha Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngara.

Ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA NDG. SOLOMON O. KIMILIKE AFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI MAKAO MAKUU

    August 01, 2025
  • DED - NGARA NDG. SOLOMON KIMILIKE ATEMBELEA HOSPITAL YA NYAMIAGA NA KUKAGUA MRADI WA ( SRWSS) AKIFUATANA NA MAAFISA TOKA MKOANI

    August 01, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKAGUA UJENZI/UKARABATI WA NYUMBA RUSUMO.

    July 28, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA KIKAO KAZI NA RUSUMO OSBP

    July 28, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa