• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA APITA SHULE KWA SHULE KUKAGUA MWITIKIO WA MAPOKEZI WANAFUNZI WILAYANI - NGARA

Wakati ilipowekwa: January 9th, 2024

09January 2024

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja aliongozana na Afisa elimu Sekondari Mwalimu Enock Ntakisigaye, kaimu Afisa Elimu Msingi Mwalimu Ezekiel Nzabhayanga na Afisa Mawasiliano Serikalini.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra C. Mwankenja Ametembelea na kukagua shule Mbalimbali za Awali, Msingi na Sekondari ili kuona Hali ya mapokezi Kwa wanafunzi katika shule za Msingi Nzaza, Shule ya Msingi Kabanga, shule ya Sekondari Kabanga, shule ya Msingi Ngara Mjini, shule ya Sekondari Ngara.

Nae Afisa Elimu Sekondari Mwl Enock Ntakisigaye akiwa shule za sekondari Kabanga na Ngara Sekondari amewataka wazazi kuwapelekea wanafunzi wa kidato Cha Kwanza kuripoti hata kama wanamapungufu watapokelewa tu kamwe asitokee mkuu wa Shule yeyote ya Sekondari kutompokea mwanafunzi Kwa sababu ya mapungufu ya aina yetote

Naye kaimu Afisa elimu Msingi mwl Ezekiel Nzabhayanga aliwaasa wazazi wawapeleke watoto shuleni alisisitiza kuwa Elimu ni ufunguzi wa Maisha tuwapeleke watoto  akiwa shule za Msingi Nzaza, kabanga, na Ngara mjini aidha walimu watimize wajibu wao kuwafundisha watoto Kwa kufuata Ratiba il noti kuepuka upotevu wa vipindi usio na tija.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja akiwa kwenye shule za Msingi na Sekondari akizungumza na wanafunzi wa shule ya Msingi Kabanga amewapongeza wanafunzi hao Kwa kuripoti ndani ya muda uliopangwa.  Aidha Amewasihi wazazi ,walezi kuhakikisha Kila mwenye  Mtoto wa kuanza Madarasa ya Awali, shule ya Msingi  na waliofaulu kuingia kidato Cha Kwanza wahakikishe wanawapeleka watoto shule,Kwani Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imekamilisha miundombinu yote inayohitajika ikiwa tayari Kwa kupokea wanafunzi.

Wanafunzi wa kidato Cha Kwanza walioripoti shule ya Sekondari Ngara na wanaendelea na mapokezi shuleni.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja, Afisa elimu Sekondari Mwl Enock Ntakisigaye, Kaimu Afisa elimu Msingi Mwl Ezekiely Nzabhayanga  wakiwa na wanafunzi wa kidato Cha Kwanza na Wazazi waliofika shule ya Sekondari Kabanga waliofika kuripoti.


Wanafunzi wa Darasa la kwanza walioripoti shule ya Msingi Kabanga Sekondari wakiwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja akiwa na Afisa elimu Sekondari Mwl Enock Ntakisigaye na kaimu Afisa elimu Msingi Mwl Ezekiel Nzabhayanga.


Wanafunzi kidato Cha Kwanza walioripoti kidato Cha Kwanza Ngara Sekondari wakiwa na viongozi wa Halmashauri.



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja akiongea na walimu Shule ya Sekondari Ngara akiwa na Afisa elimu Sekondari Mwl Enock Ntakisigaye , kaimu Afisa elimu Msingi Mwl Ezekiel Nzabhayanga na Mkuu Wa Shule Ngara Sekondari Mwl Daudi Marco.


Pia viongozi wamezungumza na walimu Shule ya Ngara Sekondari.


Walimu wa shule ya Sekondari kabanga.


Walimu Shule ya  Ngara Sekondari.

ngaradc.go.tz


Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa