• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mkuu wa wilaya azindua zoezi la upigaji chapa mifugo katika kijiji cha Kasulo kata ya Kasulo

Wakati ilipowekwa: November 27th, 2017

Mkuu wa wilaya ya Ngara Mhe. Lt.Col. Michael Mangwela Mntenjele amezindua rasmi zoezi la kupiga chapa mifugo hasa ng’ombe walioko ndani ya wilaya ya Ngara. zoezi hilo kiwilaya limefanyika katika kijiji cha Kasulo kata ya ya kasulo.

Kabla ya uzinduzi kufanyika Mkuu wa wilaya amewahutubia wananchi na wafugaji waliohudhuria katika zoezi hilo na kueleza faida za kufanyika kwa zoezi la kupiga chapa mifugo, kwanza ni kutambua wafugaji na mifugo yao. Pili, kudhibiti wizi, utoroshaji na uhamishaji horera wa mifugo kutoka eneo moja kwenda jingine. Tatu, kusaidia kupunguza migogoro baina ya wafugaji na wafugaji, na baina ya wafugaji na wakulima nan ne, kuwa rahisi kupanga mipango ya maendeleo ya mifugo.

Aidha amesisitiza kuzingatia sheria ya wanyama ya mwaka 2013 ambapo mifugo ikishasajiriwa haipaswi kutoka mahali iliposajiriwa kwenda eneo jingine. Pia amekazia kuzingatia sharia ya maeneo ya malisho na rasilimali za vyakula vya mifugo namba 13 ya mwaka 2010 ambayo inakataza kuingiza mifugo ya kutoka nje ya nchi na kuichunga hapa nchini.

Amewaomba wananchi kutoogopa kutoa taarifa za mifugo ambayo si ya wilaya ya Ngara, lakini pia kutoa taarifa za mifugo inayopelekwa kwenye maeneo ya hifadhi.

Awali, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W), Ndg Gedeon Mwesiga ameeleza kuwa wilaya ya Ngara inategemea kupiga chapa ng’ombe Zaidi ya elfu sabini na tano (75,000) kupitia zoezi hili ambalo linaratibiwa na idara ya Mifugo na Uvuvi.

Kaimu Mkurugenzi pia ameeleza kuwa ofisi yake kupitia idara mama ya zoezi hili (Idara ya Mifugo na Uvuvi), serikali za vijiji na uongozi wa kata, imejipanga kuhakikisha mifugo yote itakayopigwa chapa ni ya wilaya ya Ngara na si vinginevyo. Ametoa rai kuwa atakayehusika na udanganyifu wowote katka zoezi hili hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa