• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Msibweteke kwa Matokeo ya Mock Mkoa Ongezeni Bidii; Mwesiga

Wakati ilipowekwa: August 6th, 2018

Walimu na wanafunzi wa darasa la saba katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa wasibweteke kwa matokeo mazuri ya mtihani wa Mock wa mkoa wa Kagera, badala yake waongeze jitiada ili wafanye vizuri zaidi katika mtihani wa taifa.

Hayo ni kwa mujibu wa Afisaelimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Idara ya Elimu Msingi ndugu Gideon Mwesiga, wakati alipokuwa akijumuisha matokeo hayo kwa ajili ya kuyapeleka mkoani Agosti 03, 2018.

Ndugu Mwesiga amesema kwamba wanafunzi waliofanya mtihani huo, wavulana walikuwa 2,344 na wasichana walikuwa 2,680, ambapo jumla ya watahiniwa walikuwa 5,024 na kwamba waliofaulu walikuwa 4,991 sawa na 98.28%.

“Ninaloweza kusema hapa walimu waongeze juhudi, na watahiniwa waongeze juhudi za kusoma wasibweteke kwa kufaulu mithani wa mock wa mkoa, huku nikiwa na furahi kwa ufaulu wetu kupanda kwa 6.25% ikilinganishwa na ufaulu wa mithani wa Mock wa Wilaya.” Alisema Afisaelimu Ndugu Mwesiga.

Amesema baada ya matokeo hayo walimu, wameonyesha hari ya kufundisha na wanafunzi wameongeza bidii zaidi wakionyesha nia ya kupunguza dosari, ambazo zimejitokeza katika mithani wa mock, wakilenga kufanya vizuri katika mtihani wao wa taifa.

Hata hivyo, alizitaja changamoto zilizojitokeza katika mtihani wa mock wa mkoa, kuwa ni kusiliba kusikotakiwa; huku akiwataka walimu wa masomo, wakuu wa shule na waratibu kata kuhakikisha watahiniwa wanapewa mazoezi zaidi ya kusiliba kabla ya mtihani wa taifa.

Amehimiza walimu kutumia mbinu ya kuwafundisha watoto hao kwa pamoja (team teaching) kwa shule za jirani mbili au tatu ili wabadilishane ujuzi.

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara katika mwaka wa 2018 ina watahiniwa wapatao 5,095 wavulana wakiwa 2,391 na wasichana ni 2,704 waliosajiliwa kufanya mithani wa taifa wilayani humo.

 

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa