• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

NAIBU WAZIRI WA HABARI MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI AKAGUA MKONGO WA MAWASILIANO YA TAIFA RUSUMO WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: January 10th, 2024

Leo Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia  ya Habari Mhe Eng. kundo Andrea Mathew Amefanya ziara Wilayani  Ngara aliongozana na Wahandisi Toka wizarani, Meneja wa TTCL Mkoa, Afisa Habari Mkoa kagera ambapo amekagua Mkongo wa Mawasiliano  eneo na Rusumo kata ya Rusumo Tarafa ya Nyamiaga Wilayani Ngara.

Aidha Naibu Waziri  huyo Mhe Eng Kundo baada ya kukagua Mkongo wa Mawasiliano wa Taifa Uliopo kata ya Rusumo amefanya Mkutano wa Hadhara  na Wananchi wa Rusumo eneo la ofisi ya Kijiji Cha Rusumo.

Mhe Naibu Waziri alipokelewa na Mwenyeji  wake Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias J. Kahabi na  Diwani wa kata ya Rusumo ambaye pia Mkiti wa Halmashauri ya Wilaya Mhe Wilbard Bambara, Mbunge Jimbo la Ngara  Mhe Ndaisaba Ruhoro ,kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg Joseph Sangatati, kamati ya Usalama Wilaya,  Wakuu wa Idara na Vitengo Halmashauri.Viongozi wa chama na serikali akiwemo Mkiti wa ccm Wilaya Mhe Vitaris Ndailagije.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Mhe Kanali Mathias J Kahabi alitoa taarifa ya Wilaya Kwa  naibu Waziri wa habari ,mawasiliano na Teknolojia.

Akiongea katika Mkutano wa Hadhara Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari amewaasa wananchi kutumia mitandao Kwa manufaa yao. Aidha amempogeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kutoa Fedha za kujenga Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Ngara  pia ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Kwa kusimamia Miradi Mbalimbali.

Mhe Eng Kundo Methew alitoa nafasi ya kuongea kwa wananchi  Kwa viongozi ambao ni Mkiti wa Halmashauri ambaye ni Diwani wa Kata hiyo ya Rusumo Mhe Wilbard Bambara   pia  Mbunge wa Jimbo la Ngara  Mhe Ndaisaba G. Ruhoro  ambapo Kila Moja alimshukuru sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kuleta fedha za kujenga Miradi ya maendeleo wilayani Ngara.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Julius Kahabi akiwa na Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe Ndaisaba G.Ruhoro ,pamoja na Mkiti wa ccm Wilaya Mhe  vitalis Ndailagije na viongozi Mbalimbali katika Mkutano wa wanachi ulifanyika kata ya  Rusumo Wilayani Ngara.


Viongozi Mbalimbali katika Mkutano wa Hadhara ulifanyika kata ya Rusumo.


Mbunge wa Ngara Mhe Ndaisaba Ruhoro akiongea na Wananchi wa Rusumo katika Mkutano wa Hadhara wa Naibu Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia.



Wananchi wa Rusumo Wilayani Ngara  walivyojitokeza kumpokea Naibu Waziri wa Habari ,mawasiliano na Teknolojia  Mhe Eng kondo A. Methew.


Mapokezi ya Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia Rusumo Wilayani Ngara.


Mkongo wa Mawasiliano wa Taifa uliotembelewa na Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Kundo Andrea Mathew.


Wananch walivyojitokeza katika Mapokezi ya Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kata ya Rusumo Wilayani Ngara.


Mkuu wa wilaya ya Ngara Mhe Kanali Mathias J Kahabi akitoa taarifa Kwa Mhe Eng  Kundo A.Mathew Naibu Waziri wa Habari ,mawasiliamo  na Teknolojia ya Habari.





ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa