• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Nitawaongezea Nguvu Wananchi Watakaochangia Miradi ya Maendeleo

Wakati ilipowekwa: September 21st, 2018

“Wananchi nataka niwe wazi, fedha toka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya wananchi, nitazipeleka kwa wananchi wanaochangia miradi ya maendeleo.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan J. Bahama.

Ndugu Bahama aliyasema hayo wakati wa mkutano wa hadhara wa kijiji cha Nyarulama katika Kata ya Kibogora Wilaya ya Ngara, wakati akiwahamasisha wananchi kuhusu umhimu wa kuchangia miradi ya maendeleo.

Amewapongeza wananchi hao kwa kutumia nguvu zao kukakamilisha maboma mawili ya jengo la zahanati na ofisi ya kijiji; kwa kuridhishwa na juhudi hizo, Mkurugenzi Mtendaji amewaahidi kuwapatia mabati ya kukamilisha majengo hayo.

Amewaomba wananchi ambao wanasuasua katika kuchangia miradi ya maendeleo kijijini hapo, kuacha mara moja tabia hiyo kwani haijengi, na kuwataka wajiunge na wenzao katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika.

Aidha, Mkurugenzi Mtendaji huyo amewakumbusha wananchi kuchangia shilingi 30,000/=, kwa ajili kupata kadi ya Bima ya Afya, ambayo amesema itawasaidia kutibiwa katika zahanati yao hadi hospitali ya rufaa ya mkoa.

Amesema kadi hiyo inawarahisishia maisha kwani gharama za matibabu kwa mtu asiyekuwa na bima ya afya ni kubwa, ambayo mtu mmoja mmoja inakuwa vigumu kuzimudu, lakini wakiwa na bima ya afya; gharama hizo zinapungua maradufu.

Wananchi walitaka kujua ni lini wataanza kuchangia fedha hiyo, kwani wengine walikuwa tayari wameiskusanya na wanaongopa kuitumia, kwani kila walipokuwa wakimpelekea mganga katika zahanati yao alikuwa anawataka waendelee kusubiri.

Ndugu Bahama amewaambia utaratibu bado haujaletwa wa jinsi ya kukusanya fedha hiyo hivyo akawashauri wawe na subira wakati serikali ikifanya mchakato wa kukusanya fedha ya bima ya afya.

Naye Diwani wa Kata ya Kibogora Mh. Adronizi Burindoli amesema pamoja na kufanikiwa katika kukamilisha maboma hayo, bado kata yake ina changamoto za ukosefu wa vyumba vya madarasa ikilinganishwa na idadi ya watoto wa awali na wa darasa la kwanza.

Mh. Bulindori amesema baada ya kutangazwa kwa elimu pasipo malipo mwitikio wa wananchi, kuwaandikisha watoto umekuwa mkubwa, matokeo yake watoto walioanza darasa la kwanza na awali wameongezeka mara dufu na kupelekea upunfu wa vitendea kazi.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa