• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Taarifa ya mlipuko wa bomu uliotokea kwenye shule ya msingi Kihinga Tarehe 08 Novemba 2017

Wakati ilipowekwa: November 17th, 2017

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ndg Aidan John bahama ametoa taarifa ya mlipuko wa bomu uliotokea kwenye shule ya msingi Kihinga Tarehe 08 Novemba 2017. Aidha amewashukuru wote waliojitoa kwa hali na mali katika wakati huu mgumu ndani ya wilaya yetu. Pia alieleza hatua mbalimbali zilizochukuliwa na ofisi yake kuwa ni pamoja na kushirikiana na taasisi nyingine za serikali na binafsi kuhakikisha afya za wahanga wa tukio hilo zinaimarika, kutoa ushauri nasaha kwa wanafunzi, walimu na wazazi ili kuwajenga kisaikolojia.

Tarehe 08/11/2017 saa 2.40 asubuhi kulitokea mlipuko wa bomu kwenye shule ya msingi Kihinga iliyoko kwenye kata ya Kibogora.

Bomu hilo lilipukia mbele ya chumba cha darasa la kwanza wakati wanafunzi wanaendelea na mtihani wa kufunga mwaka wa somo la kusoma.  Bomu lilipolipuka mwalimu alikuwa darasani akitahini wanafunzi kwenye somo tajwa. Wanafunzi walikuwa wamejipanga mstari mlangoni  nje ya chumba cha mtihani wakiingia mmoja mmoja.

Inasadikiwa kuwa bomu lililolipuka lilikuwa limebebwa na mwanafunzi Julian Trasis ambaye ni mmojawapo wa wanafunzi watatu waliofariki papo hapo. Kwa maelezo ya majeruhi, bomu hilo aliliokota akiwa njiani kwenda shuleni.

Mlipuko huo wa bomu umesababisha madhara yafuatayo:

 

  • Vifo.

Wanafunzi watano (5) walifariki. Watatu (3) walifariki pale pale shuleni. Wawili (2) walifia hospitalini Rulenge wakiwa wanapewa huduma. Wanafunzi wote waliofariki ni wavulana na walikuwa wanasoma darasa la kwanza (I)

Majina ya marehemu hao ni: 

  • Julian Trasis
  • Evath Theonas
  • Edson Bigilimana
  • Tumsifu Ruvugo
  • Miburo Gabriel

Wanafunzi watatu (3)  (namba i – iii) ambao walikufa pale pale walizikwa siku hiyo  tarehe 08/10/2017 na wanafunzi wawili (2) (namba iv na v) walizikwa tarehe 09/10/2016.

  • Majeruhi.
  • Majeruhi, wanafunzi arobaini na watatu (43) na mwalimu wao Policalipo C. Alipo walilazwa hospitalini Rulenge. Mpaka tarehe 17.11.2017 wamebaki wanafunzi kumi na wawili (12) kati yao wanafunzi wawili (2) watapelekwa Hospitali ya Kagondo huko Bukoba kwa ajili ya kuonana na madaktari wa mifupa na mmoja (1) anategemewa kupelekwa Hospitali ya KCMC kwa ajili ya matibabu zaidi ya macho.
  • Miundo mbinu.

 Mlipuko huo umeathiri ubaraza wa chumba cha darasa la kwanza kwa kutoboa mabati.

Kwa shughuli zote zilizofanyika, fungua kiambatanisho hiki 

Taarifa ya mlipuko wa bomu katika shule ya msingi Kihinga.pdf


Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa