• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

TIMU YA MWENGE 2025 MKOA WA KAGERA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: August 17th, 2025

NGARA UPDATES

17/08/2025

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Mwenge Mkoa ikiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Ndg Stephen Mashauri Ndaki aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe Hajjat Fatma Abubakari Mwassa wamefanya ukaguzi wa Miradi itakayozinduliwa/ kutembelewa/ kukaguliwa au kuweka mawe ya msingi Wilayani Ngara.

Mwenge wa uhuru Wilayani Ngara utapokekelewa siku ya tarehe 13/9/2025 katika uwanja wa shule ya Secondary Lukole na baada ya ukaguzi/ Uzinduzi/ kutembelea au kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali, Mwenge wa Uhuru utakesha katika uwanja wa shule ya Msingi Rulenge iliyopo. Mamlaka ya Mji mdogo Rulenge.

Aidha, Katibu Tawala Mkoa katika ziara hiyo alifuatana na Mratibu wa Mwenge Mkoa Ndg Yassin Mwinory na timu ya Watalaam ambapo waliungana na timu toka Wilayani ikiongozwa na Mhe Col Mathias Julius Kahabi DC Ngara, Ndg Solomon Kimilike - DED Ngara, Kamati ya Usalama ya Wilaya, Wakuu wa Idara na vitengo wa Halmashauri pamoja na Wakuu wa taasisi za Serikali Wilayani Ngara.

Kwa namna ya pekee kabisa Mhe Col Mathias Kahabi DC Ngara anatoa rai kwa wananchi wote wa Wilaya ya Ngara kujitokeza kwa wingi siku ya mapokez ya Mwenge wa uhuru - Lukole Secondary na katika Mkesha - Rulenge.

Mhe Steven M. Ndaki Katibu Tawala Mkoa wa Kagera akiwa na Mhe Col. Mthias J kahabi Dc Ngara . Ndg Solomon kimilike Ded Ngara na Ndg Yasini Mwinory Mratibu Mwenge Mkoa  wakiwa   wakiwa kwenye mmoja wapo wa mradi wa Mwenge 2025 Ujenzi wa Daraja la kumwendo

Timu ambayo imeongozwa na Ndg Steven Mashauri Ndaki Katibu Tawala Mkoa wa Kagera walipotembelea kuona Majiko ya nishati safi na Salama

www.ngaradc.go.tz

Ngara Kazi inaendelea

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA DC YAICHAPA MWANZA JIJI MCHEZO WA WAVU (VOLLEYBALL). KATIKA MASHINDANO YA SHIMISEMITA

    August 18, 2025
  • TIMU YA MWENGE 2025 MKOA WA KAGERA YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI WILAYA YA NGARA

    August 17, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA KIKAO KAZI NA KABANGA OSBP.

    August 11, 2025
  • ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA LAFANYIKA -NGARA

    August 14, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa