• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

UJENZI WA HOSPITALI YA WILAYA NGARA

Wakati ilipowekwa: August 14th, 2023

Hospitali ya Wilaya ya Ngara, iliyopo kata ya Mbuba imewekewa jiwe la msingi na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2023, Ndg. Abdalla Shaib Kaim baada ya kutembelea na kukagua shughuli za ujenzi zinazoendelea katika mradi huo


Akizungumza na wananchi, Ndg. Abdalla Shaib Kaim ameeleza kuwa kwa fedha ambazo hadi sasa zimetolewa na Serikali Kuu, kazi kubwa ya ujenzi imefanyika kwa ubora, viwango na inadhirisha. Na kutoa pongezi kwa viongozi na wataalam


“Baada ya kupata maelezo nakufanya ukaguzi wa kina, tumejiridhisha hakuna shaka lolote kwenye matumizi ya fedha.Hatua ya ujenzi ambao mradi umefika ubora na viwango vimezingatiwa. Lengo ni usimamizi wa mradi ukamilike kwa wakati wananchi waendelee kupata huduma kama ilivyo nia ya dhati ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwaletea wananchi maendeleo,” ameeleza Ndg. Abdalla Shaib


Akiwa katika mradi wa vijana waliowezeshwa kiuchumi na Halmashauri ya Wilaya ya Ngara mkopo wa asilimia 10 kwa Wanawake, Vijana na Waatu Wenye Ulemavu na kuanzisha shamba la parachichi na kitalu cha miche ya mizinga ya nyuki amewapongeza vijana hao kwakuwa na shamba zuri, lenye uhai na bora linalowawezesha kuinua hali yao ya kiuchumi


Mkuu wa Wilaya ya Ngara Kanali Mathias Kahabi, akiupokea mwenge wa Uhuru katika viwanja vya soko la Benaco ukitokea Wilaya ya Karagwe ameeleza kuwa kwa Wilaya ya Ngara Mwenge wa Uhuru utatembelea, utakagua, utaweka mawe ya msingi na kuzindua jumla ya miradi 6 yenye thamani ya Tsh. bilioni 1.7


Miradi hiyo ni vyumba vitano vya madarasa shule ya msingi Rulenge vyenye thamani ya Tsh. milioni 100, barabara ya Rulenge kwa kiwango cha lami km 0.476 yenye thamani ya Tsh. 142.2 na  ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ngara iliyogharimu Tsh. milioni 150.


Aidha mradi wa uboreshaji huduma ya maji Ngara Mjini umegharimu Tsh. milioni 234.7 na mradi wa Vijana shamba la Parachichi,kitalu cha miche ya mizinga ya nyuki wanufaika wa mkopo wa Halmashauri waliowezeshwa Tsh. milioni 130.


Mhe. Kanali Kahabi amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea fedha za miradi ili kutekeleza maendeleo kwa wananchi wa Wilaya ya Ngara. Pi amewashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kuupokea na kuushangilia mwenge wa Uhuru mwaka 2023 katika maeneo yote mwenge wa Uhuru ulipopita.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa