• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

WANANCHI NGARA MKOANI KAGERA KULIPWA ZAIDI YA BILLION 32 NA TEMBO NICKEL

Wakati ilipowekwa: August 20th, 2023

Leo tarehe 20/8/2023  Uongozi wa juu wa Tembo Nickel akiwemo Mr Benedict Busunzu - CEO Tembo Nickel pamoja na Dr. Kudra Said - OHS Manager Tembo Nickel umefika ofisi ya DC Ngara, ambapo CEO alitoa taarifa fupi ya maendeleo ya mradi huo kama ifuatavyo:-

1. Mchakato wa Utoaji wa Elimu/Mafunzo na Malipo ya fidia kwa Waguswa(PAPs) wa mradi kwa Vijiji Vitano(5) vinavyoguswa na mradi huo liko katika hatua za mwisho.

2. Zaidi ya Shilingi Bilioni 32 zimetengwa kama fidia ya Waguswa wa mradi huo.

3. Baaada ya zoezi la ulipaji fidia kwa PAPs wote zoezi litakalofuata ni Zoezi la Uhamishaji Watu na Makazi kwenda maeneo mapya ambayo tayari yametengwa kwa ajili yao.


Kwa niaba ya Wananchi wa Wilaya ya Ngara, kwa heshima na unyenyekevu mkubwa napenda kumshukuru na kumpongeza sana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dr Samia Suluhu Hassan  kwa kuridhia fedha hizi nyingi zilipwe haraka iwezekanavyo kwa Waguswa wote na Malipo hayo yafanyike kabla ya kuanza Zoezi la kuhamisha watu kwa ajili ya kupisha shughuli za mradi kuanza. 


Pili, napenda nimpongeze sana Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe Bi. Hajjat Fatma Abubakar Mwassa  kwa ufuatiliaji na usimamizi madhubuti wa kuhakikisha wananchi wote wenye stahiki ya kulipwa fidia wanalipwa kwa mujibu wa Sheria na Taratibu zilizopo. Mwisho lakini sio kwa umuhimu kwa namna ya kipekee napenda kuwapongeza sana Viongozi MR BENEDICT BUSUNZU - CEO kwa ushirikiano na Mshikamano wa hali ya juu sana katika utekelezaji wa Shughuli na kazi mbalimbali za mradi huo kwa Uongozi wa Serikali ya Wilaya na Vijiji vyote vinavyoguswa na mradi wa Tembo Nickel. 

Hakika wametushirikisha vizuri katika kila hatua ya maendeleo ya miradi huo.

 Mwisho, niwashukuru sana Wananchi wa Wilaya ya Ngara hususan wa vijiji vya Nyabihanga , Bugarama, Rwinyana, Mukubu na Muganza kwa ushirikiano wao mkubwa waliouonesha toka hatua za mwanzo za mradi upimaji na Uthamini na sasa hatua za mwisho za Utoaji elimu, malipo na uhamishaji wa watu na Makazi.

 Ahsanteni sana wenu *Mhe. Col Mathias Julius Kahabi - DC Ngara.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa