- Mwanzo
- Kuhusu sisi
- Utawala
- Fursa za uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
NGARA UPDATES
15/04/2025
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Leo Aprili 14, 2025 atafungua mkutano wa 15 wa Taasisi ya Maboresho katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (TOA) unaofanyika katika ukumbi wa Jiji, uliopo kwenye Mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma
Mkutano huo unalenga kubadilishana uzoefu na kuwajengea uwezo wanachama wa TOA ili kuwawezesha kuleta mabadiliko chanya ya mwelekeo wa utendaji wa kila siku na kuchagiza maboresho katika Serikali za Mitaa.
Moja ya jukumu la TOA ni kuishauri Serikali katika masuala mbalimbali yanayohusu ustawi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mkutano huo umehudhuriwa na Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.
www.ngaradc.go.tz
Ngara District Council
Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara
Simu ya mezani: 0282226016
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz
Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa