• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

WAZIRI ULEGA AZINDUA PROGRAM YA KOPA NG'OMBE LIPA MAZIWA MKOANI KAGERA.

Wakati ilipowekwa: October 3rd, 2023

Waziri mwenye dhamana ya Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega (Mb) amezindua Programu ya Kuinua Uchumi kupitia Ufugaji ijulikanayo kama "Kopa Ng'ombe Lipa Maziwa" inayotekelezwa na Shirika la Kimataifa la Heifer International Kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania TADB, chini ya mradi wa kuboresha Sekta ya Maziwa (TI3P) kwa Kanda ya Ziwa na Zanzibar unaofadhiliwa na Taasisi ya Bill and Melinda Gates (BMGF).


Waziri Ulega akiambatana na Mkuu wa Mkoa Kagera Hajat Fatma Mwasa wamefika Wilayani Karagwe Oktoba 03, 2023 na kuzindua mpango huo wa Kopa Ng'ombe Lipa Maziwa unaoratibiwa na Ndg. Jossam Ntangeki Mmiliki na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Uchakataji Maziwa Cha Kahama fresh Ltd kilichopo Kihanga Karagwe.


Waziri Ulega amempongeza Ndg. Jossam kwa Kuuunga Mkono Kampeni ya BBT kwa Kuinua Vijana Kiuchumi, ukiwa ni mpango wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kutaka Vijana wajiimarishe Kiuchumi kupitia Kilimo Uvuvi na Ufugaji wa Kisasa.


Awali akisoma Taarifa ya Mradi wa ujenzi wa kiwanda cha Kahama Fresh Bw. Jossam Ntangeki ambaye ni mmiliki wa kiwanda hicho ameitaja changamoto kubwa inayoukabili mradi wa Kahama Fresh kuwa ni upungufu wa sehemu ya malisho ya ng’ombe Ambao ndio chanzo cha maziwa ambayo ni malighafi ya kiwanda hicho


“Changamoto kubwa tuliyonayoni eneo la malisho,Mheshimwa Waziri tunashukuru kwa kipande kidogo tulichopewa ambacho ndiko tunafugia lakin hakitosh kabisa na tumeleta maombi yetu ofisini kwako na tunajua NARCO ni kampuni ambayo ipo chini yako Mheshimiwa Waziri na tumepeleka maombi yetu mda mrefu tu tukiomba tupatiwe eneo ambalo tutaweza kuweka shamba la kufugia Mitamba, kwa nafasi hii tunaomba ikikupendeza useme neno” amesema Bw.Ntangeki


Naye Waziri Ulega amemuhaidi Bwana Ntangeki kuwa ombi hilo atalifanyikia kazi mara moja na kumtaka kuwa ajiandae kupata eneo hilo maana amekuwa mfano wa kuigwa na kuongeza kuwa hata akipewa eneo hilo litatumika ipasavyo kwakuwa tayari ameshaonyesha njia na itafanya uzalishaji uongezeke na kuliongezea taifa kipato.



www.ngardc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa