• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

BONANZA LA WATUMISHI MAKAO MAKUU, WALIMU NA WANANCHI LAFANYIKA WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: September 27th, 2025

NGARA UPDATES

27/09/2025

limefanyika Bonanza la Michezo Mbalimbali katika uwanja wa Halmashauri  Ngara Mjini.

Kabla ya Bonanza imefanyika Jogging na mazoezi ya Aerobic kwa kushirikisha watumishi na wananchi

Baada ya maxoezi ya  pamoja limefanyika Bonanza kabambe kwa  michezo ya Soka, Kikapu na wavu

Matokeo ya Michezo katika Bonanza hili ilikuwa kama ifuatavyo:

1. SOKA

WATUMISHI MAKAO MAKUU 2 VS WALIMU 0

Wafungaji katika Mchezo huo alikuwa  Ndg Bahati Marco kutoka Utawala  na Juma Ramadhani kutoka ofisi ya Ugavi

2. WAVU (VOLLEYBALL ) WALIMU 2 VS WATUMISHI MAKAO MAKUU 1

3. KIKAPU ( BASKETBALL) WATUMISHI MAKAO MAKUU 21 VS WALIMU 6

Magoli yamefungwa na Victor Mtui kutoka ofisi ya Mipango  na Salum Mnundulu.kutoka ofisi ya Mazingira.

Bonanza hilo ambalo lilikuwa na lengo la  kufahamiana  watumishi wa makao makuu na walimu. Kujenga afya, umoja, upendo na Mshikamano ikiwa na kubadilishana mawazo baina ya watumishi kwa watumishi.

Bonanza hilo liliandaliwa na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya  kupitia kitengo cha Utamaduni sanaa na Michezo 

Wanamichezo wamemshukuru Ndg Solomon kimilike  Mkurugenzi mtendaji Wilaya kwa ukarabati wa Viwanja vya michezo Wavu na kikapu.

Imeelezwa na wanamichezo  kwa Mwakilishi wake Mkurugenzi Mtendaji Wilaya katika Bonanza hilo Mwl. Said Salum ambaye ni Afisa utamaduni sanaa na Michezo - Mkuu wa  kitengo hicho.

Ngara kazi inaendelea

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MHE COL MATHIAS KAHABI DC NGARA ATEMBELEA UJENZI WA BARABARA YA KIVUKONI RUSUMO.

    October 02, 2025
  • VIWANGO VYA UDUMAVU NA UKONDEVU VIMEPUNGUA NCHINI - MAJALIWA

    October 01, 2025
  • BONANZA LA WATUMISHI MAKAO MAKUU, WALIMU NA WANANCHI LAFANYIKA WILAYA YA NGARA

    September 27, 2025
  • CHAFANYIKA KIKAO KAZI CHA TATHIMINI YA UTEKELEZAJI WA AFUA ZA LISHE - 2025 WILAYANI NGARA

    September 26, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa