• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Daraja Lisitumike Hadi Makubaliano Rasmi Yatakapofikiwa

Wakati ilipowekwa: April 23rd, 2018

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilayani ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele, amepiga marufu matumizi ya daraja linalounganisha kijiji cha Bugarama kilichoko katika tarafa ya Rulenge, na kijiji cha Muruyungu kilichoko nchini Burundi, mpaka makubaliano rasmi yatakapofikiwa.

Mwenyekiti huyo Lt. Col. Mntenjele amefikia uamuzi huo Aprili 23, 2018 baada ya wakandarasi wa Burundi kujenga daraja hilo bila ridhaa ya ujenzi wa daraja hilo kati ya Tanzania na Burundi.

“Matumizi ya daraja hili ni marufuku kwa pande zote mbili; hakikisheni halitumiki, tukikuta linatumika pande zote mbili mtawajibika.” Alisema Lt. Col. Mntenjele.

Amesema kujenga daraja hilo bila ridhaa ya pande mbili ni kinyume cha taratibu za ujirani mwema, kwani mipaka rasmi inajulikana, ambayo ameitaja kuwa ni Rusumo, Kabanga na Murusagamba.

Amesema daraja hilo si tatizo tu kwa kuvusha magendo na kuingiza wahamiaji haramu tu, bali pia linaikosesha serikali mapato kwa kupitisha vitu kinyemela.

Aidha, amesistiza kwamba kilichopigwa marufuku ni matumizi ya daraja na siyo ujirani mwema, hivyo, shuguli nyingine zote ziendelee kama kawaida.  

Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama Lt. Col. Mntenjele ameabatana na wajumbe wote wa kamati hiyo kukagua daraja hilo lililojengwa na Burundi bila ya ridhaa ya upande wa Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA FAMERS YATOA KATONI ZA BISCUIT.

    December 07, 2023
  • NGARA OIL YATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA BARA KIWILAYA.

    December 06, 2023
  • CHAMA CHA WALIMU WILAYA YA NGARA CHATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU KI-WILAYA.

    December 06, 2023
  • RATIBA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA WILAYANI NGARA KUANZIA TAREHE 04/12/2023 HADI 11/12/2023

    December 13, 2023
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa