• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC AFANYA MKUTANO WA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI WA KIJJI CHA MAGAMBA KATA YA MURSAGAMBA WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: March 5th, 2025

 NGARA UPDATES

05/03/2025

Mhe Col. Mathias J .Kahabi DC Ngara amefanya Mkutano wa Hadhara  kwa kusikiliza na kutatua kero za wananchi  kijiji cha Magamba kata ya Mursagamba Tarafa ya Mursagamba.

Katika kikao hicho aliongozana na K/Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya katibu Tawala Wiaya Bi Hatujuani A. Lukali, Wajumbe kamati ya usalama wilaya, wakuu wa Idara na vitengo vya Halmashauri , Wakuu wa  Taasisi za  serikali  pamoja na uongozi wa kata na kijiji husika.

Wananchi walitoa kero zao na kutatuliwa na wakuu wa idara, taasisi za serikali

Aidha Mhe Col Kahabi amesisitiza yafuatayo

  • Kila mmoja anatakiwa kuwa Mzalendo na mlinzi wa mipaka ya Nchi yetu.
  • Kila mwananchi kuacha tabia ya kukodisha Mashamba kwa Wananchi wa Nchi jirani ili kuepukana na migogoro ya kiusalama  Nchi na Nchi.
  • Viongozi Kuimarisha Ulinzi shirikishi ili kuwaepusha Vijana na tabia na vitendo viovu.
  • Wananchi kuwa wazalendo na kujenga desturi ya kutoa taarifa sahihi za Hali yoyote inayopelekea uvunjifu wa Amani.

Aidha Mhe Col Kahabi amesisitiza kuwa Migogoro ya Ardhi inapoletwa isipuuzwe na ianzie Ngazi ya kijiji,kata hadi Tarafa itenge muda kuwasikiliza Wananchi na kuzitatua changamoto hizo ili jamii inufaike kupitia uwepo wao, yale yanayoshindikana  Mhe DC  alisema muda wote kuwatumikia wananchi,

Pia  Mhe Col Kahabi  amekemea vitendo vya Raia kuwaficha wahalifu huku akitoa mifano hai iliyotokea katika eneo hilo  waliofichwa kwenye majumba ya watu na kutekeleza matukio mengi ya kiuhalifu

Viongozi mbalimbali kamati ya ualama wilaya, wakuu wa idara Halmashauri na wakuu wa taasisi za serikali katika kikao cha kusikilia na kutatua kero  kijiji cha Magamba  kata ya Mursagamba.


Wananchi wa kijiji cha Magamba kata ya Mursagamba wakiwa kwenye kikao cha kusikiliza na kutatua kero za wananchi


wananchi


Mhe col Mathias J Kahabi Dc Ngara akiongea na wananchi wa kijiji cha Magamba kata ya Mursgamba

Kazi inaendelea Ngara

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa