• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC KAHABI AFANYA MKUTANO WA HADHARA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI KIJIJI CHA CHIVU KATA YA NTOBEYE WILAYANI - NGARA

Wakati ilipowekwa: March 19th, 2024

NGARA LEO

Mkuu wa wilaya Mhe Col Mathias J kahabi ameendelea na ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Kijiji Cha chivu kata ya Ntobeye.  

Mhe Col Kahabi alifuatana na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya, katibu Tawala Wilaya , kamati ya usalama Wilaya, Wataalam Kutoka Halmashauri ya Wilaya, Taasisi za Serikali Tarura ,Ruwasa,Tanesco, pia Afisa Tarafa Nyamiaga, Mhe Diwani Kata ya Ntobeye, Viongozi wa Chama na serikali Kutoka Kata hiyo.

 Mhe Kahabi amesisitiza suala la amani ambapo alisema Maendeleo hayawezi kuja bila kuwa na amani ,Amehimiza wananchi kujitokeza kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa Kwa kuchagua viongozi wanaokubalika, pia umuhimu wa Elimu Kwa kuwataka Wazazi  kuwapeleka shule watoto wasikatizwe kwani Elimu ni ufunguo wa maisha.

Aidha Mhe Col Kahabi ametembelea kuona ujenzi wa shule shikizi ya chivu na kuahidi kuwapa saruji mifuko 50 Ili kusaidia nguvu za wananchi katika ujenzi huo wa vyumba 2 na Ofisi.

Naye Mhe. Sunday mukozi Diwani Kata ya Ntobeye aliipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa Miradi ya TASAF, umeme,Barabara pia ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya sec Ntobeye, zahanati ya Kijiji Cha kigina.

Kero zilizoulizwa na wananchi ni masuala ya umeme, Barabara, maji, Elimu, Ardhi na uhamiaji.

Ambapo kero hizo zilisikilizwa na kujibiwa na wataalam aliyoambatana nao Mhe col Kahabi Mkuu wa wilaya.

Imesisitizwa wananchi wanapolipia huduma za Serikali wajiepushe kulipa fedha taslimu Bali watumie mfumo wa Malipo wa Serikali Kwa kupewa namba ya Malipo (control number)

Mhe Kanali Kahabi akihitimisha Kwa kumpongeza na  kumshukuru Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa serikali anayoiongoza Kwa kuleta fedha za ujenzi wa miundombinu mbalimbali ikiwemo ya Afya, Elimu, maji, umeme na Barabara.

Wataalam wakiwa kwenye mkutano wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi.


Mhe col Kahabi akisilikiza kero ya mwananchi.


Wananchi walivyojitokeza kwenye mkutano wa Hadhara kusikiliza na kutatua kero za wananchi.


Mhe Diwani Kata ya Ntobeye Sunday mukozi.







ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa