• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC NGARA MHE. COL. MATHIAS KAHABI ATEMBELEA KITEULE CHA JWTZ - MURUSAGAMBA

Wakati ilipowekwa: December 4th, 2025

Leo tarehe 04/12/2025, Mhe Col Mathias Julius Kahabi DC Ngara ametembelea Kiteule cha JWTZ kilichopo Kijiji cha Murusagamba, Kata ya Murusagamba  Tarafa ya Murusagamba Wilayani Ngara.

Mhe Col Kahabi katika ziara hiyo alifuatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya, Kamati ya Usalama ya Kata/Tarafa ya Murusagamba pamoja na Mkuu wa Kiteule Maj Mzava.

Lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kukagua shughuli za ulinzi na usalama zinazofanywa na maafisa na askari waliopo katika eneo la mpaka katika Kijiji na Kata ya Murusagamba.

Aidha, kwa niaba ya Kamati ya Usalama ya Wilaya Mhe Col Kahabi DC Ngara amewapongeza wananchi wa Kijiji na Kata hiyo kwa ushirikiano mkubwa wanaoutoa kwa maafisa na askari wa JWTZ pamoja na vyombo Vingine vya ulinzi na usalama vilivyopo katika Kijiji na Kata hiyo inayopakana na nchi jirani ya Burundi.

Pia amewataka vyombo vyote vya usalama kushirikiana kuhakikisha  hakuna wahamiaji haramu wanaoingia nchini mwetu kupitia njia  ambazo sio rasmi(vipenyo) maarufu kama Panya road.

Amewakumbusha juu ya uwepo wa Task Force ambayo imeundwa tarehe 01/12/2025 na imeshaanza kazi ikiongozwa na OCD Ngara, DIO Ngara pamoja na maafisa na askari toka vyombo mbalimbali vya usalama Wilayani Ngara.

Ngara Kazi ya ulinzi na usalama inaendelea.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE. COL. MATHIAS KAHABI ATEMBELEA KITEULE CHA JWTZ - MURUSAGAMBA

    December 04, 2025
  • MHE COL. MATHIAS J KAHABI DC NGARA AFANYA KIKAO KAZI NA VIONGOZI WA DINI

    December 03, 2025
  • KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MADIWANI, CHAFANYIKA NA MWENYEKITI ACHAGULIWA WILIBARD BAMBARA

    December 02, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YAFANYIKA KIWILAYA KATA YA KASULO

    December 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa