• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Idara ya Elimu Yaadhimisha Kilele cha Wiki ya Elimu kwa Kuhamasisha Taaluma

Wakati ilipowekwa: May 31st, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara kupitia Idara ya Elimu Msingi, imetumia wiki ya elimu kuhamasisha jamii kutambua umuhimu na kuongeza ari ya utendajikazi kwa walimu na wanafunzi wilayani humo.

Akisoma risala wakati wa Hitimisho ya Wiki ya Elimu kwa niaba ya Afisaelimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mei 30, 2018, Afisa Taaluma (W) Ndugu Oswald Rujuba, amesema wameamua kuchukua hatua hiyo ili kuinua taaluma ya wanafunzi wilayani Ngara.

Amesema maadhimisho ya siku ya kilele cha Wiki ya Elimu yamesimamiwa na idara ya Elimu Msingi na Elimu Sekondari na kwamba idara ya Elimu Msingi katika wiki hiyo imefuatilia maendeleo ya taaluma katika shule ya za msingi zipatazo 74.

“Kutokana na hali ya taaluma wilayani kwetu kushuka; tumetoka nafasi ya 01 hadi ya 08 kimkoa, tuliamua kufanya maadhimisho haya kwa kutembelea shule moja, ili kuhamasisha na kuongeza ari ya utendajikazi kwa walimu na wanafunzi wajisomee kwa bidi.” Alisema Afisaelimu Taaluma ndugu Rujuba.

Katika risala yake ameihamasisha jamii, kuwekeza katika Elimu kama hatua muhimu ya kuzalisha nguvu kazi yenye ujuzi wa kulisaidia taifa lao, na kuongeza kwamba uhamasishaji huo, umepelekea ofisi yake kuongeza idadi ya wanafunzi 84,125 waliosajiliwa.

Amefafanua kwamba idara ya msingi imefanya vizuri kitaaluma, ambapo katika mitihani ya darasa la VII kitaifa kwa miaka mitatu tangu mwaka 2015 hadi 2017, imekuwa ya kwanza kimkoa na imefanikiwa kuvuka lengo.

Maadhimisho ya siku ya kilele cha wiki ya Elimu yameabatana na kuwatunuku vyeti walimu wakuu, ambao shule zao zimefanya vizuri kitaaluma, ambapo shule tano za sekondari na tano za msingi wametunukiwa vyeti hivyo.

Idara ya Elimu Msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara inazo shule 121, shule 115 ni za serikali, ambapo shule 06 ni za watu binafsi, na kwamba idara yake ina walimu 1,373; walimu wa kiume ni 867 na wa kike 506.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa