• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Idara ya Maendeleo ya Jamii Imekopesha Shilingi Milioni 30 2017/2018

Wakati ilipowekwa: August 14th, 2018

Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, imefanikiwa kukopesha vikundi vya akina Mama na Vijana shilingi milioni 30,000,000/= katika mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Hayo ni kwa mujibu wa Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Bi. Josephine J. Lusatira, alipokuwa akiongea na mwandishi wa habari hii ofisini kwake Agosti 13,2018, kwamba Idara yake imekwisha toa mikopo tajwa kwa walengwa hao.

 

“Katika mwaka wa fedha wa 2017/2018, makadirio ya makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka, yalikuwa shilingi 1,035,005,000/=,  na kutoa asilimia 10% ya T.shs. 103,500,500/= kwa vikundi vya wanawake na vijana.” Alifafanua Kaimu Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Josephine J. Lusatira.

Makusanyo halisi hadi Juni 30, 2018 ilikuwa T.shs. 930,708,085.20, ambapo asilimia 10% ni T.shs 93,070,808.52 na kwamba Marchi, 2018, walikopesha shilingi 13,621,730/= kwa vikundi 10, vikundi 05 vya vijana vilikopeshwa shilingi 6,810,865.00 na vikundi 05 vya wanawake shilingu 6,810,865.00 sawa na asilimia 16.8%.

Mwishoni mwa mwezi Juni, 2018, idara yake ilikopesha vikundi 08 shilingi 16,378,270/=, ambapo vikundi 02 vya vijana vilipokea shilingi 5,000,000/= na vikundi 06 vya akina mama vilikopeshwa shilingi 11,378,270/=.

Aidha kumekuwepo na changamoto mbalimbali, ambazo halmashauri inakumbana nazo katika kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake, ambazo ameainisha kuwa ni ufinyu wa bajeti na makusanyo kidogo ya halmashauri.

Amesema ufinyu huo husababisha idara ya Maendeleo ya Jamii, kushindwa kuvifuatilia vikundi vilivyopewa mikopo, kwa ajili ya kutoa ushauri na kuhamasisha kurejesha mikopo katika muda uliopangwa.

Amesema baadhi ya vijana ugawana fedha za mikopo, walizopewa kwa matumizi mengine, na kushindwa kurejesha mikopo kwa wakati, na kwamba baadhi ya wakopaji wanahamia nje ya wilaya, kwaajili ya utafutaji bila kurejesha mikopo waliyochukua.

Aidha, amesema Idara yake imeboresha mifumo ya ukusanyaji mapato ya ndani, ili kuongeza kipato na kuweza kutoa 10% ya mikopo kwa vikundi vya vijana na wanawake.

Idara inaendelea kufanya ufuatiliaji kwa vikundi vya vijana na wanawake, vilivyochelewa kurejesha mikopo waliyopewa ili kuwezesha vikundi vingine.

 

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa