• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

JOGGING YA KILA JUMAMOSI YAFANA NA BONANZA LA MICHEZO- NGARA

Wakati ilipowekwa: July 19th, 2025

NGARA UPDATES

19/07/2025

Imefanyika Jogging ,Mazoezi ya pamoja( Aerobic) na Bonanza la michezo ya  kuvuta kamba na Soka Mbuzi wa Bahati ambaye ni Afisa  Utumishi katika Halmashauri ya wilaya.

Katika mchezo wa kuvuta kamba wanaume kati ya Watumishi Vs Wananchi na matokeo watumishi waliweza kushinda na kupata kuku Jogoo  pia kamba wanawake watumishi waliweza kuwashinda Wananchi .

Mgeni rasmi katika  Jogging na Bonanza alikuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Bi Jenifer Mapembe ambaye ni Mkuu wa idara ya utawala na usimamizi wa Rasilimali watu.

Jogging ilishirikisha watumishi wa Serikali taasisi na Mashirika,wafanyabiashara ,wanachuo cha Nersing Murgwanza ,wakulima ,wafufugaji na wajasiliamali wadogowadogo  (Wananchi)

Katika Bonanza la  Soka (Mbuzi wa Bahati ) lililoshirikisha jumla ya  timu sita 6 ambapo 

Timu ya Ngara Boys imeibuka Bingwa na kujinyakulia zawadi ya Mbuzi wa Bahati katika Bonanza lilofanyika uwanja wa Posta Ngara Mjini  baada ya kuifunga timu ya Nursing FC ya Murgwanza kwa Mikwaju ya Penalty 7-6 baada ya kumalizika 0:0 kwa dakika 90 za Mchezo.

Jogging ya pamoja

Jogging ikiongozwa na Mkiti Dr Mapunda

Jogging Club Ngara Mjini ambayo hufanyika kila Jumamosi kwa ajili ya kujenga afya ,mshikamano ,urafiki ,umoja ,mahusiano ,amani na  upendo

Baada ya kumaliza Jogging

Mazoezi ya pamoja katika uwanja wa mpira wa kikapu Ngara mjini

Kaimu Ded Bi Jenifer Mapembe  baada ya kutoa zawadi ya kuku kwa mshindi wa kamba katika uwanja wa mpira wa kikapu Ngara mjini

Waamuzi waliochezesha Bonanza soka ( mbuzi wa Bahati Afisa utumishi)

Wanamichezo wa Bonanza la soka katika uwanja wa posta ya zamani wakimsikiliza Mgeni Rasmi Kaimu Ded  Bi Jenifer Mapembe akitoa neno kabla ya kuanza Bonanza hilo.

Mchezo wa kuvuta kamba kati ya watumishi na Wananchi

Mbuzi akikabidhiwa kwa captain wa timu ya Ngara Boys na Muandaaji  soka Bonanza Bw Bahati Marco ambaye ni Afisa utumishi Katika Halmashauri ya wilaya akiwa na Afisa Utamaduni  sanaa na Michezo Ndg Said.H.S

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKAGUA UJENZI/UKARABATI WA NYUMBA RUSUMO.

    July 28, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA KIKAO KAZI NA RUSUMO OSBP

    July 28, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AWASHUKURU WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI WAOLISHIRIKI SHUGHULI ZA USAFI SIKU YA ALHAMIS TAREHE 24/O7/2025.

    July 24, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KABANGA OSBP.

    July 23, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa