• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA NGARA

Wakati ilipowekwa: June 14th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ngara Mh. Wilbard J. Bambara akiongozana na Kamati ya Fedha,Utawala na Mipango wametembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika wilaya ya Ngara. Katika ziara hiyo kamati hiyo ilitembelea jumla ya miradi kumi na saba (17) inayotekelezwa katika kata saba (07) za Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Miradi hiyo iliyotembelewa ina jumla ya Tsh 7,675,260,694.69 na imefikia katika hatua mbalimbali za utekelezaji katika mwaka wa fedha 2023/2024 ambapo tisa (09) imekamlika na mingine iko katika hatua za umaliziaji.

Kamati hiyo ilipongeza juhudi zinazofanyika katika usimamizi wa miradi iliyokamilika na kuelekeza wataalam waendelee kusimamia miradi ambayo haijakamilika kwa weredi ili wananchi waweze kuitumia miundombinu hiyo kama shule,zahanati na hospitali zinazojengwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti alielekeza pia miradi iendelee kutekelezwa kwa kuzingatia taratibu zote za serikali za uendeshaji wa miradi  ili iweze kukamilika kikamilifu na pia taratibu za fedha ziendelee kuzingatiwa na malipo yafanyike kwa wakati ili isitokee miradi kukwama au kuchelewa kisa malipo. Mkurugenzi Mtendaji aliahidi kuendelea kuzingatia taratibu za utekelezaji wa miradi na kusema kuwa miradi ambayo haijakamilika itakamilika kwa wakati na usahihi.

Aidha katika majumuisho ya ziara hiyo Mheshimiwa Mwenyekiti alimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dk. Samia Suluhu kwa kuendelea kuleta fedha kwa ajili ya miradi ya Maendeleo inayojumuisha ujenzi wa shule, zahanati na hospital kwa ajili ya Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara.Pia Mheshimiwa mwenyekiti alimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndg. Solomoni Kimilike kwa kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri ambayo yanachangia katika ujenzi wa miradi ya maendeleo pia.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa