• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO YAENDELELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA PILI 2024/ 2025

Wakati ilipowekwa: March 12th, 2025

NGARA UPDATE

12/ 03/2025

 Kamati ya Fedha imeendelea na ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo. Kamati hiyo ikiongozwa na Mhe Adronizi Bulindori  makamu Mkiti wa Halmashauri  pia  kaimu Mkurugenzi Mtendaji  Wilaya Bi Jenifer Mapembe Waheshimiwa  Madiwani na Wakuu wa Idara na vitengo.

Miradi iliyotembelewa 

  1. Ujenzi wa  Nyumba ya Walimu (two in one ) shule ya Secondary MURUBANGA gharama za mradi tsh 100,000 000  fedha toka Serikali kuu nyumba imekamilika na inatumika.
  2. Mradi wa ujenzi wa vyumba 4 vya Madarasa  Matundu 6 ya vyoo shule ya msingi Rwinyana gharama ya mradi Tsh 113,600,000/=  Serikali kuu kupitia  Boost  vyumba vya Madarasa na Matundu ya vyoo umekamilika na kutumika.
  3. Shule Mpya ya Sekondari   MUMURAMA ilipo kata ya Bukirilo  shule hii ilipokea Tsh 584,280.029 /= kupitia Serikali kuu mradi wa kuboresha Elimu ya sekondari Tanzania ( SEQUIP III) Ambapo Miundo mbinu iliyojengwa ni Jengo la Utawala moja,Maktaba moja,,Chumba cha TEHAMA (ICT ROOM), Maabara tatu za (Physics, Chemistry na Biology),Madarasa vyumba 8 na Matundu 20 ya Vyoo  (wavulana 10 na wasichana 10) .Mradi umekamilika na unatumika.
  4. Mradi wa Ujenzi wa Mabweni 2 Shule ya Secondary  Muyenzi  ujenzi utagharimu Tsh 260,000,000/ fedha toka Serikali kuu kupitia SEQUIP   Mradi huo umefikia hatua ya umalizaji kazi za uwekaji vigae,upakaji rangi ,Milango na Madirisha.
  5. Mradi wa kiwanda cha kukamua Mafuta ya Alizeti ( Nisafi Sanflower oil) Rulenge .aidha kamati imepongeza kwa mradi mzuri aidha wataalam wa halmashauri watafika  kwa ajili ya maelekezo( taratibu na sheria) pia imeshauliwa  kukitangaza kiwanda hicho.

Nae Kaimu mkurugenzi  Mtendaji Bi Jenifer Mapembe  amempongeza meneja wa kiwanda  kwa Jitihada kuwa na kiwanda kwa kuajiri watumishi 4  kuunga jitihada za serikali kuwa na viwanda na kutoa ajira.

Nyumba 2 in 1 shule ya Sekondari Murubanga kata ya Nyamagoma imekamilika


Ujenzi wa Nyumba yq Walimu 2 in 1  Shule ya Sekondari Murubanga kata ya Nyamagoma  imekamilika na  kutumika


Ujenzi wa vyumba 4 vya Madarasa  Shule ya Msingi Rwinyana Mradi umekamilika na kuanza kutumika


Shule ya Sekondari Mumurama iliyopo kata ya Bukiriro ujenzi umekamilika  na kutumika


Mhe Adronizi Bulindori Majamu Mwenyekiti H/Wilaya na Bi Jenifer Mapembe kaimu.Mkurugenzi Mtendaji Wilaya wakiwa darasani Shule Mpya ya sekondari Mumurama aidha wanafunzi wa kidato cha kwanza  Wanafunzi wamshukuru Ahsnte Dkt Samia Suluhu Hassani Rais wa JMT.


Shule mpya ya Sekondari Mumurama kata ya Bukiriro


Makamu Mkiti H/ Wilaya  Mhe Adronizi Bulindori , kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Jenifer Mapembe, Mhe Erick kilamachumu  Diwani kata ya Bukiriro na wajumbe wakiwa chumba  cha Maabara shule ya sekondari Mumurama.


Ujenzi wa Nabweni 2 Shule ya Sekondari Muyenzi


Kamati ya Fedha utawala na Mipango wakiwa shule ya sekondari Muyenzi yanapojengwa Mabweni 2


Kamati wakiwa shule ya sekondari muyenzi yanapojengwa mabweni 2


Kamati  ya fedha utawala na mipango wakiwa kwenye kiwanda cha Mafuta Rulenge


Kamati  ya fedha walipotembelea kiwanda cha mafuta  ya Alizeti Rulenge



Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa