• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KIKAO CHA UJIRANI MWEMA WAFANYABIASHARA TOKA NGARA TANZANIA NA KIREHE RWANDA CHAFANYIKA NCHINI RWANDA

Wakati ilipowekwa: March 16th, 2025

NGARA UPDATE

15/03/2025

 Mkiti wa umoja  wa Wafanyabiara Ngara Ndg Chrispine Kamugisha na  ameongoza msafara wa kuelekea Wilaya ya Kirehe Mkoa wa Kibungo nchini Rwanda .

Mkiti huyo ameongozana na kaimu Afisa Biashara Viwanda na uwekezaji  Ndg Privanus Katinhila Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya, na wafanyabiashara  zaidi ya 80, kutoka  Ngara.


Lengo la kikao hicho ni kubadilishana Mawazo kibiashara , ambapo kiongozi wa kirehe  aliwaomba kushirikiana na  tayari wamejenga soko  kubwa  wanawakaribisha wafanyabiashara toka Ngara Tanzania.


Nae Ndg *Chrispine  kamugisha Mkiti wa wafanyabiashara Ngara*  aliwaambia kuwa wafanyabiashara  Ngara wamefika na bidhaa za maonesho zilizoletwa na wafanyabiashara kutoka Ngara Tanzania waone  ambapo walivutiwa sana na vitu hivyo pia aliwajulisha lipo soko la kimkakati kahaza Rusumo lipo hatua ya mwisho kukamilika aliwakaribisha wafanyabiashara wa Rwanda kuja kuwekeza katika soko hilo jipya.

Aidha  Mwakilishi wa  Mkurugenzi Mtendaji Wilaya  Ndg Privanus katinhila Amesisitiza umuhimu wa falsafa ya 4R ya Rais  Mhe Dkt Samia Suluhu Hasani na kupongeza mashirikiano yaliyoasisiwa na Mhe. Rais Paulo Kagame na Mama Samia S.H amemalizia kwa kusisitiza ushiriki wa Wafanyabiashara wanawake katika biashara za mipakani

Aidha Naye  Mkuu wa Wilaya ya  kirehe amewapongeza Waheshimiwa Maraisi wa Rwanda Paul Kagame na Tanzania Dkt Samia Suruhu Hassani kwa ushirikiano wao mkubwa katika nchi hizi Mbili.

Baada ya kikao ulifanyika Mchezo wa Mpira wa Miguu kati ya timu ya Rusumo F.C Ngara Tanzania na  Imena FC kirehe Rwanda huku timu ya Imena FC ikiibuka na 

Mshindi kwa magoli 2 kwa 1 dhidi ya Rusumo FC ambapo ilinyesha mvua kubwa na kusababisha uwanja kuwa na tope, utelezi.

Picha ya pamoja viongozi wa Kirehe na Ngara katika kikao hicho kilichofamyika ukumbi wa  wilaya Kirehe mkoani  kibungo Rwanda


Wafanyabiashara wa Ngara na kirehe katika kikao


Bidhaa za maonesho kutoka Ngara




Timu ya Rusumo Fc toka Ngara


Timu ya imena Fc ya Kirehe

Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa