• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KUKAMILIKA KWA UANDAAJI WA MIPANGO YA MATUMIZI BORA YA ARDHI VIJIJI 10 VYA MWANZO WILAYANI NGARA -KAGERA.

Wakati ilipowekwa: January 8th, 2024

Mkuu wa Idara ya Ardhi Ndg Enock Mponzi Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Amesema kwamba program Mpya ya Benki ya Dunia ya kuiandaa Mipango shirikishi jamii ya matumizi ya ardhi  na uboreshaji wa Usalama wa Miliki za ardhi  tayari imeanza kutekelezwa wilayani Ngara kuanzia tarehe 09/12/2023.

Aliendelea Kwa kusema Mradi huo unatekelezwa na kwa kusimamiwa na Wizara ya Ardhi Nyumba  na Maendeleo ya Makazi ikishirikiana na Halmashauri ya Wilaya  ya Ngara.

Mkuu huyo wa Idara ya Ardhi amesema Malengo  Makuu ya Mradi huo ni kuandaa Mipango  ya matumizi ya ardhi katika vijiji vyote 75 vya Wilaya ya Ngara Aidha katika lengo hili la matumizi ya ardhi kazi zinazotekelezwa Sasa  ni 

1. kuhakiki na kupima upya mipaka ya vijiji vyote 75

2 . Kutenga na kupima Maeneo Kwa matumizi Mbalimbali kama vile Maeneo ya malisho, Maeneo ya vyanzo vya maji,Maeneo ya misitu,njia za Mifugo na Maeneo ya huduma za Jamii.

3. kuandaa na kusajili  vyeti vya Ardhi za vijiji vyote 75

4. kuandaa Mipango ya Matumizi ya Ardhi Kwa Kila Kijiji.

Aidha alisema Hadi Sasa   Mradi umeisha kamilika katika vijiji 10 Vya Mwanzo ambavyo ni Kanyinya, Mbuba, Ruhuba, Kumwendo, Mururama, Djoululigwa,Ibuga, Nyabisindu Mukarehe na Murugarama.

Aidha vijiji vingine 10 vitakavyofuatia ni Mumuhamba, Bukiriro, Kihinga, Nyarulama, Mumilamila, Bugarama, Rwinyana, Nyabihanga, Mukubu na Muganza.

Ndg. Mponzi alimalizia Kwa kusema Kwa awamu hii ya kukamilisha Mipango ya Matumizi Bora ya ardhi wamepanga kukamilisha vijiji 10 Kila Mwezi na ifikapo Julai 2024 vijiji vyote 75 vitakuwa vimefikiwa.

Pia aliwashukuru na kuwapongeza Mhe Mbunge wa Jimbo la Ngara  Kwa ufuatiliaji na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan .

ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa