• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI. KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PEPMIS NA PIPMIS) WILAYANI NGARA -KAGERA.

Wakati ilipowekwa: December 12th, 2023

Mafunzo yameendelea Kwa watendaji wakata, vijiji , maafisa elimu kata , Wakuu wa shule, walimu wakuu, Wakuu wa vituo vya afya , maafisa Kilimo kata na maafisa Maendeleo ya jamii kata.

Mafunzo hayo yanayotolewa na viongozi kutoka ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma yaliyoanza tarehe 10/12/2023 na Kutolewa Kwa wakuu wa idara, Vitengo na Wasaidizi wao.

Akiongea Mkurugenzi Msaidizi ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma Bi Jeanfrida B. Mushumbuzi. Alisema mfumo wa Usimamizi wa utendaji kazi katika utumishi wa Umma PEPMIS/ PIPMIS Ndani na nje utawezesha.

Kuchochea na kuleta mageuzi Makubwa katika usimamizi na upimaji wa watendaji katika utumishi wa Umma.

Kuchochea utumishi wa Umma unaofanywa kazi Kwa Weledi,bidii na uadilifu.

Ambapo alisema utumishi wa Umma unawajibika Kwa Umma wa Watanzania unaojali utendaji kazi wenye matokeo Kwa wakati, unatenda haki na unazongatia na uzalendo wa kitaifa ili kuimarisha utoaji Huduma Bora Kwa wananchi.

Nae kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg.Constantine Msemwa aliwaka wanamafunzo wote kuwa wasikivu Kwa mada Mbalimbali zitakazofundishwa ikiwa na kufanya Kwa usahihi zoezi la kuingia kwenye mfumo.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Ndg Constantine Msemwa akiwa na Afisa utumishi Ndg Bahati Marco ,pamoja na Mkurugenzi Msaidizi Toka Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma Bi Jeanfrida B. Mushumbuzi  na viongozi wengine Toka Ofisi hiyo.


Wanamafunzo kutoka kata 22 za wilaya ya Ngara wakiwa kwenye ukumbi wa St Francis.


Wanamafunzo maafisa elimu wakiwa na Afisa elimu Msingi Bi Josline Bandiko.


Wanamafunzo wakiwa na Afisa elimu Sekondari Mwl Enock Ntakisigaye.






ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa